Hawa ni wa kuwahurumia. Yaani wafuasi wa SISIEM sifa zao ni ukosefu wa elimu, utambuzi, fikra na kujitambua. Kwa ujumla SISIEM ni kundi au jumuiko la vilaza, kumbumbu.Aisee.
Hawa ni wa kuwahurumia. Yaani wafuasi wa SISIEM sifa zao ni ukosefu wa elimu, utambuzi, fikra na kujitambua. Kwa ujumla SISIEM ni kundi au jumuiko la vilaza, kumbumbu.Aisee.
Kwani mmeanza kuruhusu chanjo?Magufuli the president of world, tulia chanjo ikuingie
Mkuu kuna Mahala Magufuli amesema anataka kufia Ikulu?.Kama milioni 50 tu kwa kila kijiji zimemshinda, Hakika John Magufuli hana maajabu yoyote.
SGR haiwezi na Stieglers Gorge HP hawezi kukamilisha.
Akina Mubarak walikuwa na connections kila pande ya dunia, lakini hatima ya yote ni kuondolewa madarakani kwa nguvu ya Umma huku wakiziacha nchi zao Zikiwa zimevurugika vibaya.
Au hata Museveni, ameifanyia nini Uganda? Kinachokwenda kutokea Uganda ni kurudi kulekule walikotoka, Vita vya wenyewe kwa wenyewe na mauaji ya halaiki.
Magufuli akikaa Ikulu milele hakuna kitu atafanikisha, Sanasana ataijenga Chato mithili ya Gbadolite ya Mobutu na atawatajirisha ndugu zake na wapambe wachache wanaomsaidia kufanikisha mambo mabaya ambayo amekwishayafanya hadi sasa.
Na zaidi, itakuwa ni kuondoka madarakani kwa aibu kama walivyoondoka wenzie akina Mubarak, Mugabe, Ben Ali, Ghadafi na Madikteta wengineo..
Inavyoonekana anapenda kujaribu kila kitu, Wacha ajaribu tumwone!
kwa namna hii ya uhandishi wewe hata posho inabidi upewe nusu ya wengineYaani mumetumia fedha za chama kwenda kujifungia huko Zazibar kumbe mulikua mnajadili hizi propaganda za kuota ndoto za mchana namna hiii? Jiandaeni kuona mumeibiwa kula kila uchaguzi.
Nani kakuambia atakaa milele...Kama milioni 50 tu kwa kila kijiji zimemshinda, Hakika John Magufuli hana maajabu yoyote.
SGR haiwezi na Stieglers Gorge HP hawezi kukamilisha.
Akina Mubarak walikuwa na connections kila pande ya dunia, lakini hatima ya yote ni kuondolewa madarakani kwa nguvu ya Umma huku wakiziacha nchi zao Zikiwa zimevurugika vibaya.
Au hata Museveni, ameifanyia nini Uganda? Kinachokwenda kutokea Uganda ni kurudi kulekule walikotoka, Vita vya wenyewe kwa wenyewe na mauaji ya halaiki.
Magufuli akikaa Ikulu milele hakuna kitu atafanikisha, Sanasana ataijenga Chato mithili ya Gbadolite ya Mobutu na atawatajirisha ndugu zake na wapambe wachache wanaomsaidia kufanikisha mambo mabaya ambayo amekwishayafanya hadi sasa.
Na zaidi, itakuwa ni kuondoka madarakani kwa aibu kama walivyoondoka wenzie akina Mubarak, Mugabe, Ben Ali, Ghadafi na Madikteta wengineo..
Inavyoonekana anapenda kujaribu kila kitu, Wacha ajaribu tumwone!
UHANDISHI ndo neno gani tena hapo ufipa??kwa namna hii ya uhandishi wewe hata posho inabidi upewe nusu ya wengine
Kama hayo uliyaaandika kama taarifa, umeyafanyia uchunguzi au unauhakika nayo??Unajua maana ya Propaganda?
Mimi nimekusahihisha uandishi wakowa hovyo kwa lugha fasaha,sasa hapo kuna propaganda gani? Mbona unatia aibu kwa uelewa wako mdogo kiasi hicho?
Mkuu kuwa mstahamilivu amebakisha miaka michache amalize.Kama milioni 50 tu kwa kila kijiji zimemshinda, Hakika John Magufuli hana maajabu yoyote.
SGR haiwezi na Stieglers Gorge HP hawezi kukamilisha.
Akina Mubarak walikuwa na connections kila pande ya dunia, lakini hatima ya yote ni kuondolewa madarakani kwa nguvu ya Umma huku wakiziacha nchi zao Zikiwa zimevurugika vibaya.
Au hata Museveni, ameifanyia nini Uganda? Kinachokwenda kutokea Uganda ni kurudi kulekule walikotoka, Vita vya wenyewe kwa wenyewe na mauaji ya halaiki.
Magufuli akikaa Ikulu milele hakuna kitu atafanikisha, Sanasana ataijenga Chato mithili ya Gbadolite ya Mobutu na atawatajirisha ndugu zake na wapambe wachache wanaomsaidia kufanikisha mambo mabaya ambayo amekwishayafanya hadi sasa.
Na zaidi, itakuwa ni kuondoka madarakani kwa aibu kama walivyoondoka wenzie akina Mubarak, Mugabe, Ben Ali, Ghadafi na Madikteta wengineo..
Inavyoonekana anapenda kujaribu kila kitu, Wacha ajaribu tumwone!
Wee Mrundi! siku zako zinahesabika nakushauri uwe hapo kigoma ili ukifuatwa uvuke kwenda kwenu haraka!Yaani mumetumia fedha za chama kwenda kujifungia huko Zazibar kumbe mulikua mnajadili hizi propaganda za kuota ndoto za mchana namna hiii? Jiandaeni kuona mumeibiwa kula kila uchaguzi.
Ha ha ha. Eti mwache ajaribju tumuone! Shame on you! Ajaribu na kishaweza. Hao Kina Mubarak an Gadaffi si ndio waliondolewa na watu wenye aklili finyu kama zako? Unaijua Misri wewe au unaisikia kwenye bomba? Unadhani kwa nini wanajeshi walimprotect Hosn Mubarak kwa kuwa wanajua alipoitoa nchi na alipoifikisha. Hivi hujamsikia Mh. Rais alivyosema? Amejitolea uhai wake kwa ajili ya watanzania. Na amerudia mara nyingi as anajua historia zilivyo lakini nia yake ni kumuinua mtanzania basi.. Sasa Ninyi mnaoshirikiana na mabeberu, you can go to hell!Kama milioni 50 tu kwa kila kijiji zimemshinda, Hakika John Magufuli hana maajabu yoyote.
SGR haiwezi na Stieglers Gorge HP hawezi kukamilisha.
Akina Mubarak walikuwa na connections kila pande ya dunia, lakini hatima ya yote ni kuondolewa madarakani kwa nguvu ya Umma huku wakiziacha nchi zao Zikiwa zimevurugika vibaya.
Au hata Museveni, ameifanyia nini Uganda? Kinachokwenda kutokea Uganda ni kurudi kulekule walikotoka, Vita vya wenyewe kwa wenyewe na mauaji ya halaiki.
Magufuli akikaa Ikulu milele hakuna kitu atafanikisha, Sanasana ataijenga Chato mithili ya Gbadolite ya Mobutu na atawatajirisha ndugu zake na wapambe wachache wanaomsaidia kufanikisha mambo mabaya ambayo amekwishayafanya hadi sasa.
Na zaidi, itakuwa ni kuondoka madarakani kwa aibu kama walivyoondoka wenzie akina Mubarak, Mugabe, Ben Ali, Ghadafi na Madikteta wengineo..
Inavyoonekana anapenda kujaribu kila kitu, Wacha ajaribu tumwone!
Mrundi ndo mdudu ganii? Kumbe we we nimkimbiziiiWee Mrundi! siku zako zinahesabika nakushauri uwe hapo kigoma ili ukifuatwa uvuke kwenda kwenu haraka!
Magufuli akikaa Ikulu milele hakuna kitu atafanikisha, Sanasana ataijenga Chato mithili ya Gbadolite ya Mobutu na atawatajirisha ndugu zake na wapambe wachache wanaomsaidia kufanikisha mambo mabaya ambayo amekwishayafanya hadi sasa.
Yuko wapi sasa hivi??Magufuli the president of world, tulia chanjo ikuingie
Hoja za kusifia ndio hoja?Mkuu kuna Mahala Magufuli amesema anataka kufia Ikulu?.
Nakumbuka ya Jakaya Kikwete nayo ilikuwa ivi ivi. Mara Kikwete hata itisha uchaguzi. Wapinzani wa Tanzania ni wajinga sipata kuona.
Mnafikiri Magu atakuwa kama Mbowe alikatalia kiti. Magu hawezi fia Urais kama Mbowe anavyofia kiti.
Njooni na hoja zinazojenga nchi na si hizi propaganda za kishenzi.
Kama nani wakati ameikuta nchi ikiwa na kila kitu yeye alikuja kuvuruga na kutafuta sifa za kijinga.Ha ha ha. Eti mwache ajaribju tumuone! Shame on you! Ajaribu na kishaweza. Hao Kina Mubarak an Gadaffi si ndio waliondolewa na watu wenye aklili finyu kama zako? Unaijua Misri wewe au unaisikia kwenye bomba? Unadhani kwa nini wanajeshi walimprotect Hosn Mubarak kwa kuwa wanajua alipoitoa nchi na alipoifikisha. Hivi hujamsikia Mh. Rais alivyosema? Amejitolea uhai wake kwa ajili ya watanzania. Na amerudia mara nyingi as anajua historia zilivyo lakini nia yake ni kumuinua mtanzania basi.. Sasa Ninyi mnaoshirikiana na mabeberu, you can go to hell!
Katoe hirizi zako tupate maendeleo ya magufuli uliyoyabana yakwame.Kama milioni 50 tu kwa kila kijiji zimemshinda, Hakika John Magufuli hana maajabu yoyote.
SGR haiwezi na Stieglers Gorge HP hawezi kukamilisha.
Akina Mubarak walikuwa na connections kila pande ya dunia, lakini hatima ya yote ni kuondolewa madarakani kwa nguvu ya Umma huku wakiziacha nchi zao Zikiwa zimevurugika vibaya.
Au hata Museveni, ameifanyia nini Uganda? Kinachokwenda kutokea Uganda ni kurudi kulekule walikotoka, Vita vya wenyewe kwa wenyewe na mauaji ya halaiki.
Magufuli akikaa Ikulu milele hakuna kitu atafanikisha, Sanasana ataijenga Chato mithili ya Gbadolite ya Mobutu na atawatajirisha ndugu zake na wapambe wachache wanaomsaidia kufanikisha mambo mabaya ambayo amekwishayafanya hadi sasa.
Na zaidi, itakuwa ni kuondoka madarakani kwa aibu kama walivyoondoka wenzie akina Mubarak, Mugabe, Ben Ali, Ghadafi na Madikteta wengineo.
Inavyoonekana anapenda kujaribu kila kitu, Wacha ajaribu tumwone!
yupo moyoni mwakoYuko wapi sasa hivi??
Kama nani wakati ameikuta nchi ikiwa na kila kitu yeye alikuja kuvuruga na kutafuta sifa za kijinga.Ha ha ha. Eti mwache ajaribju tumuone! Shame on you! Ajaribu na kishaweza. Hao Kina Mubarak an Gadaffi si ndio waliondolewa na watu wenye aklili finyu kama zako? Unaijua Misri wewe au unaisikia kwenye bomba? Unadhani kwa nini wanajeshi walimprotect Hosn Mubarak kwa kuwa wanajua alipoitoa nchi na alipoifikisha. Hivi hujamsikia Mh. Rais alivyosema? Amejitolea uhai wake kwa ajili ya watanzania. Na amerudia mara nyingi as anajua historia zilivyo lakini nia yake ni kumuinua mtanzania basi.. Sasa Ninyi mnaoshirikiana na mabeberu, you can go to hell!
Kwani ni Mungu wangu au Yesu mawazo ya kijinga haya.yupo moyoni mwako