Tua Ngoma
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 3,102
- 8,006
yajayo yana sikitisha sana
Uko tayariiii?
yajayo yana sikitisha sana
KhaaKhaa we jamaaa
Nadhani ni Rais wa wanyonge wa akili.muacheni rais wa wanyonge,
ILA PROPAGANDA ZAKO NIWEREVU WA HALI YA JUUU HAPO UFIPANIulidhani kama ungeandika kwa herefu ndogo tusingeweza kusoma huu ujinga wako ulioandika hapa?.
Umeiona wapi wapi elimu buree??Elimu ni bure halafu Makada wa ccm ndio wanatia aibu kwa uandishi wa hivi!
Ila propaganda zako ulitaka tukuite shujaaa???Unadhani kila mtu yupo kwenye ushabiki wa kisiasa?
Mimi nimekukosoa lugha uliyotumia,jifunze kuijua,kuifahamu na kuiandika kwa ufasaha lugha yako itakuletea heshima kiasi fulani.
Absolutely, YesKama milioni 50 tu kwa kila kijiji zimemshinda, Hakika John Magufuli hana maajabu yoyote.
SGR haiwezi na Stieglers Gorge HP hawezi kukamilisha.
Akina Mubarak walikuwa na connections kila pande ya dunia, lakini hatima ya yote ni kuondolewa madarakani kwa nguvu ya Umma huku wakiziacha nchi zao Zikiwa zimevurugika vibaya.
Au hata Museveni, ameifanyia nini Uganda? Kinachokwenda kutokea Uganda ni kurudi kulekule walikotoka, Vita vya wenyewe kwa wenyewe na mauaji ya halaiki.
Magufuli akikaa Ikulu milele hakuna kitu atafanikisha, Sanasana ataijenga Chato mithili ya Gbadolite ya Mobutu na atawatajirisha ndugu zake na wapambe wachache wanaomsaidia kufanikisha mambo mabaya ambayo amekwishayafanya hadi sasa.
Na zaidi, itakuwa ni kuondoka madarakani kwa aibu kama walivyoondoka wenzie akina Mubarak, Mugabe, Ben Ali, Ghadafi na Madikteta wengineo..
Inavyoonekana anapenda kujaribu kila kitu, Wacha ajaribu tumwone!
Yule hana uwezo wowote, huwa nawashangaa sana wanamwelewa
Nyungu bhana,hapa hachanjwi mtu.Magufuli the president of world, tulia chanjo ikuingie
Unajua maana ya Propaganda?Ila propaganda zako ulitaka tukuite shujaaa???
Aisee.
Mara nyingi huwa najiuliza ni kwanini tulipambana na kupigana kufa kupona kudai Uhuru. maana yote yaliyofanywa na wakoloni ndio hayohayo yanafanywa na viongozi wetu wa Kiafrika akiwemo JIWE.Kama milioni 50 tu kwa kila kijiji zimemshinda, Hakika John Magufuli hana maajabu yoyote.
SGR haiwezi na Stieglers Gorge HP hawezi kukamilisha.
Akina Mubarak walikuwa na connections kila pande ya dunia, lakini hatima ya yote ni kuondolewa madarakani kwa nguvu ya Umma huku wakiziacha nchi zao Zikiwa zimevurugika vibaya.
Au hata Museveni, ameifanyia nini Uganda? Kinachokwenda kutokea Uganda ni kurudi kulekule walikotoka, Vita vya wenyewe kwa wenyewe na mauaji ya halaiki.
Magufuli akikaa Ikulu milele hakuna kitu atafanikisha, Sanasana ataijenga Chato mithili ya Gbadolite ya Mobutu na atawatajirisha ndugu zake na wapambe wachache wanaomsaidia kufanikisha mambo mabaya ambayo amekwishayafanya hadi sasa.
Na zaidi, itakuwa ni kuondoka madarakani kwa aibu kama walivyoondoka wenzie akina Mubarak, Mugabe, Ben Ali, Ghadafi na Madikteta wengineo..
Inavyoonekana anapenda kujaribu kila kitu, Wacha ajaribu tumwone!