Magufuli hastahili hata kulegeza lijamu ya Jakaya Kikwete. Yuko Chini sana, Kikwete ni level nyingine

Masokotz

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
3,490
5,525
Huu ni mtazamo wangu binafsi kama mtu ambaye ninaamini kwamba kila ninachowaza ni sahihi

Kipimo cha Ubora wa Kiongozi sio vitu kama madaraja,barabara,nyumba etc.Hivyo nivitu viddogo sana ambavyo vinafanywa na wataalamu wa maeneo husika cha muhimu ni PESA ziwepo.

Kipimo cha Kiongozi yoyote yule wa ngazi yoyte ile ni uwezo wake wa kuzalisha viongozi.

Katika kipimo hiki,Magufuli amefeli sana,Yaani kama ni mtihani amepata sifuri,na carry humo humo.

Nasema kwa sababu najua ninachosema na kuona kinachoendelea.Magufuli hajaweza kuzalisha hata KIONGOZI mmoja katika kipindi cha Uongozi wake na hata wale viongozi wachache alioachiwa nao amewaharibu na kuwavuruga vuruga mpaka hata hawajielewi tena.Tumekuwa na RAIS wa ajabu sana kwa kipindi hiki cha miaka mitano.

Najua kuna ambao wanataka kumlinganisha na JK.JK amezalisha Viongozi wengi sana.Amewajenga na kuwakuza viongozi wengi sana kwa kuwapa fursa na kuwajengea uwezo.

Tusimlinganishe Kikwete na itu vya ajabu bwana.Nawashangaa sana wanaojaribu kumfananisha mzee wa Msoga na watu ambao wamebaki na Nchi ambayo ni FAILED

Tuache kuwa wanafiki.Magufuli hastahili hata kufunga lijamu ya kiatu cha Kikwete.Amalizie tu uongozi wake apishe mtu mwingine ambaye ataweza kurudisha heshima ya taifa letu.

Kama unabisha weka evidence hapa
 
Nilikuwa namsikiliza mtaalam mmoja wa theology akasema, Ingawa Joshua alikuwa ni kiongozi hodari sana baada ya Musa katika taifa la Israel lakini alishindwa kabisa kuandaa kiongozi alitakiwa kufuata baada ya yeye. Ila Joshua alikuwa mfalme hodari mtu wa vita na jasusi wa hatari. Mtu mwenye mbinu za kivita na mambo mengine mengi tu.

Lakini alikwama kabisa hakuandaa (succession) mtu wa kumfuata baada ya yeye. Uimara wa mtu mmoja kama hauwezi kuuona kwa mtu anaefuta ni swala la kujiuliza na kupunguza ushabiki na kuanza kujiuliza 'who is next'
 
Huu ni mtazamo wangu binafsi kama mtu ambaye ninaamini kwamba kila ninachowaza ni sahihi

Kipimo cha Ubora wa Kiongozi sio vitu kama madaraja,barabara,nyumba etc.Hivyo nivitu viddogo sana ambavyo vinafanywa na wataalamu wa maeneo husika cha muhimu ni PESA ziwepo.
Kipimo cha Kiongozi yoyote yule wa ngazi yoyte ile ni uwezo wake wa kuzalisha viongozi.

Katika kipimo hiki,Magufuli amefeli sana,Yaani kama ni mtihani amepata sifuri,na carry humo humo.

Nasema kwa sababu najua ninachosema na kuona kinachoendelea.Magufuli hajaweza kuzalisha hata KIONGOZI mmoja katika kipindi cha Uongozi wake na hata wale viongozi wachache alioachiwa nao amewaharibu na kuwavuruga vuruga mpaka hata hawajielewi tena.Tumekuwa na RAIS wa ajabu sana kwa kipindi hiki cha miaka mitano.

Najua kuna ambao wanataka kumlinganisha na JK.JK amezalisha Viongozi wengi sana.Amewajenga na kuwakuza viongozi wengi sana kwa kuwapa fursa na kuwajengea uwezo.Tusimlinganishe Kikwete na itu vya ajabu bwana.Nawashangaa sana wanaojaribu kumfananisha mzee wa Msoga na watu ambao wamebaki na Nchi ambayo ni FAILED

Tuache kuwa wanafiki.Magufuli hastahili hata kufunga lijamu ya kiatu cha Kikwete.Amalizie tu uongozi wake apishe mtu mwingine ambaye ataweza kurudisha heshima ya taifa letu.

kama unabisha weka evidence hapa
So, viongozi walioyopo na ambao amewateua hana sifa ya uongozi? Au hawafai?

Rudi kwenye dhana ya kiongozi (leadership theories)

Nijibu swali lako kwa kuwa uliitaji evidence
Kwa miaka mitano katengeneza viongozi wengi sana
Mfano:
ANTONY MTAKA mkuu wa mkoa wa SIMIYU
itazame simiyu leo hi ktk nyanja za
Elimu
Kilimo
Ufugaji
Kuna vitu vimefanyika simiyu nje ya miongozo yaani kiongozi kaenda extra mile hapo ndipo unaona genius ya uongozi iliyo ndani ya kiongozi chini ya ANTHONY MTAKA

JE kabla ya miaka hii mitano ulimjua?
 
👏👏👏👊
Nilikuwa namsikiliza mtaalam mmoja wa theology akasema, Ingawa Joshua alikuwa ni kiongozi hodari sana baada ya Musa katika taifa la Israel lakini alishindwa kabisa kuandaa kiongozi alitakiwa kufuata baada ya yeye. Ila Joshua alikuwa mfalme hodari mtu wa vita na jasusi wa hatari. Mtu mwenye mbinu za kivita na mambo mengine mengi tu.

Lakini alikwama kabisa hakuandaa (succession) mtu wa kumfuata baada ya yeye. Uimara wa mtu mmoja kama hauwezi kuuona kwa mtu anaefuta ni swala la kujiuliza na kupunguza ushabiki na kuanza kujiuliza 'who is next'
Lakini yote kwa yote ingewezekana kufanya mabadiliko kwa muhula huu mmoja basi ingekuwa ila bado muda haujafika.
 
Hakuna kipindi kizuri Tanzania kwa kiongozi anaye jielewa na wale wanao chipukia kupanda ngazi za kiuongozi kwa merits kama awamu ya 5 ya JPM.

Wewe naona unaishi zama za kuwa na jina la kiongozi kutoka mfukoni kwa Rais. Wengi wa aina hiyo wamepotea.
 
Huu ni mtazamo wangu binafsi kama mtu ambaye ninaamini kwamba kila ninachowaza ni sahihi

Kipimo cha Ubora wa Kiongozi sio vitu kama madaraja,barabara,nyumba etc.Hivyo nivitu viddogo sana ambavyo vinafanywa na wataalamu wa maeneo husika cha muhimu ni PESA ziwepo.

Kipimo cha Kiongozi yoyote yule wa ngazi yoyte ile ni uwezo wake wa kuzalisha viongozi.

Katika kipimo hiki,Magufuli amefeli sana,Yaani kama ni mtihani amepata sifuri,na carry humo humo.

Nasema kwa sababu najua ninachosema na kuona kinachoendelea.Magufuli hajaweza kuzalisha hata KIONGOZI mmoja katika kipindi cha Uongozi wake na hata wale viongozi wachache alioachiwa nao amewaharibu na kuwavuruga vuruga mpaka hata hawajielewi tena.Tumekuwa na RAIS wa ajabu sana kwa kipindi hiki cha miaka mitano.

Najua kuna ambao wanataka kumlinganisha na JK.JK amezalisha Viongozi wengi sana.Amewajenga na kuwakuza viongozi wengi sana kwa kuwapa fursa na kuwajengea uwezo.

Tusimlinganishe Kikwete na itu vya ajabu bwana.Nawashangaa sana wanaojaribu kumfananisha mzee wa Msoga na watu ambao wamebaki na Nchi ambayo ni FAILED

Tuache kuwa wanafiki.Magufuli hastahili hata kufunga lijamu ya kiatu cha Kikwete.Amalizie tu uongozi wake apishe mtu mwingine ambaye ataweza kurudisha heshima ya taifa letu.

Kama unabisha weka evidence hapa

Katika hili, mimi namkubali sana Mh. Freeman Aikael Mbowe...

Huyu ni Mwenyekiti wa CHADEMA taifa....

Cheki jinsi ambavyo ameijenga CHADEMA na kuwa chama imara na tegemeo la wanyonge kupita kawaida katika kipindi cha chini ya miaka 20 tu ya uongozi wake....

Angalia ambavyo amewajenga na kuwaandaa vijana wenye vipawa na uwezo Mkubwa kina Tundu Lissu, Mwalimu Salimu Juma, John Heche, John Mnyika, Halima Mdee, Jeska Kishoa nk nk....

Angalia jinsi ambavyo CCM na Magufuli wake wanalazimika kuazima ama "kununua kwa pesa" human resources kwa ajili ya nafasi mbalimbali serikalini....

Huu ni ushahidi kuwa ndani ya CCM hakuna vijana ama watu wabunifu na wenye study kamilifu za uongozi kuweza kushika nafasi mbalimbali za uongozi ktk serikali yao wenyewe....

Na tatizo nilionalo mimi ni moja tu;

KWAMBA;

Ni mfumo wetu mbaya wa uongozi wa kiserikali unaotengenezwa na katiba yetu....

Katiba yetu inampa kiongozi mkuu wa serikali (RAIS) mamlaka na nguvu kubwa kupita kiasi...

Inapokuwa hivi na bahati mbaya nchi ikapata kiongozi mjinga, asiye na hekima wala busara kwa sampuli ya Pombe Magufuli, tegemea kuwa na wasaidizi wanafiki na wajinga kama bosi wao...

Naamini nimeeleweka vizuri lakini mtaniwia radhi kwa wale wataokwazwa na lugha yangu kali kidogo...

Lakini huu ndiyo uhalisia wa mambo...
 
So, viongozi walioyopo na ambao amewateua hana sifa ya uongozi? Au hawafai?

Rudi kwenye dhana ya kiongozi (leadership theories)

Nijibu swali lako kwa kuwa uliitaji evidence
Kwa miaka mitano katengeneza viongozi wengi sana
Mfano:
ANTONY MTAKA mkuu wa mkoa wa SIMIYU
itazame simiyu leo hi ktk nyanja za
Elimu
Kilimo
Ufugaji
Kuna vitu vimefanyika simiyu nje ya miongozo yaani kiongozi kaenda extra mile hapo ndipo unaona genius ya uongozi iliyo ndani ya kiongozi chini ya ANTHONY MTAKA

JE kabla ya miaka hii mitano ulimjua?
Anthony Mtaka kumbe hupo humu Jamvini naona unajifagilia tu. Nasikia ulikuwa na uhakika utachukua nafas ya Bashite naona umezinduka kwenye koma. Sasa fungua macho hicho chama chako wamejaa wanafiki
 
Huyu bwana vitu Vinci alivifanya kwa kukurupuka sana anashindwa tu kukiri kuwa hakuna amabacho kitakuwa na mwisho mwema labda alichoweza ni kuwatisha watumishi wa umma mpaka siku hizi hawaandamani kama kipindi cha JK
 
Nilikuwa namsikiliza mtaalam mmoja wa theology akasema, Ingawa Joshua alikuwa ni kiongozi hodari sana baada ya Musa katika taifa la Israel lakini alishindwa kabisa kuandaa kiongozi alitakiwa kufuata baada ya yeye. Ila Joshua alikuwa mfalme hodari mtu wa vita na jasusi wa hatari. Mtu mwenye mbinu za kivita na mambo mengine mengi tu.

Lakini alikwama kabisa hakuandaa (succession) mtu wa kumfuata baada ya yeye. Uimara wa mtu mmoja kama hauwezi kuuona kwa mtu anaefuta ni swala la kujiuliza na kupunguza ushabiki na kuanza kujiuliza 'who is next'
Uko sahihi
Kibiblia tuna mrefer Musa kama kiongozi bora aliyewaandaa vijana hodari wa vita kama
Joshua...mpiganaji hodari na jasusi na
Kalebu.
Musa alifundishwa uongozi bora na Mkwewe, mkwewe alimtembelea Musa akamkuta akipokea mashauri mchana kutwa na kutatua.
Mkwewe akamwambia Musa, unakosea sana, tafuta watu waaminifu na wa haki wakusaidie kuamua mashauri madogomadogo na kesi kubwa uletewe wewe.
Huu ndio uongozi bora, kuwapa wengine fursa ya kuongoza na wanapokosea unawaelekeza...

Joshua alikuwa msaidizi wa Musa, alijifunza uongozi toka kwa Musa.
Baada ya Musa, Joshua aliongoza Waisraeli kwa mafanikio makubwa na kwa ushindi mkubwa san, ndiye aliyewarithisha Israel Kaanan ya kale.

Joshua yeye pamoja na uhodari
Ujasusi wake
Ushujaa wake
Alifeli kutokuandaa mrithi wake, hivyo baada ya yeye kufariki Israel ilipoteza mwelekeo sana.

Ukiwa kiongozi usijisahau kuandaa mrithi/warithi
 
Huu ni mtazamo wangu binafsi kama mtu ambaye ninaamini kwamba kila ninachowaza ni sahihi

Kipimo cha Ubora wa Kiongozi sio vitu kama madaraja,barabara,nyumba etc.Hivyo nivitu viddogo sana ambavyo vinafanywa na wataalamu wa maeneo husika cha muhimu ni PESA ziwepo.

Kipimo cha Kiongozi yoyote yule wa ngazi yoyte ile ni uwezo wake wa kuzalisha viongozi.

Katika kipimo hiki,Magufuli amefeli sana,Yaani kama ni mtihani amepata sifuri,na carry humo humo.

Nasema kwa sababu najua ninachosema na kuona kinachoendelea.Magufuli hajaweza kuzalisha hata KIONGOZI mmoja katika kipindi cha Uongozi wake na hata wale viongozi wachache alioachiwa nao amewaharibu na kuwavuruga vuruga mpaka hata hawajielewi tena.Tumekuwa na RAIS wa ajabu sana kwa kipindi hiki cha miaka mitano.

Najua kuna ambao wanataka kumlinganisha na JK.JK amezalisha Viongozi wengi sana.Amewajenga na kuwakuza viongozi wengi sana kwa kuwapa fursa na kuwajengea uwezo.

Tusimlinganishe Kikwete na itu vya ajabu bwana.Nawashangaa sana wanaojaribu kumfananisha mzee wa Msoga na watu ambao wamebaki na Nchi ambayo ni FAILED

Tuache kuwa wanafiki.Magufuli hastahili hata kufunga lijamu ya kiatu cha Kikwete.Amalizie tu uongozi wake apishe mtu mwingine ambaye ataweza kurudisha heshima ya taifa letu.

Kama unabisha weka evidence hapa
Maneno yote hayo ni kwasababu katekeleza vizuri...angelikua hajatekeleza kabisa hiyo miundombinu ama kutekeleza lakini chini ya kiwango nyie nyie mngelijitokeza na kuanza kuipa airtime miundombinu

JPM kaza mwendo
 
Maneno yote hayo ni kwasababu katekeleza vizuri...angelikua hajatekeleza kabisa hiyo miundombinu ama kutekeleza lakini chini ya kiwango nyie nyie mngelijitokeza na kuanza kuipa airtime miundombinu

JPM kaza mwendo
Mkuu,ukweli unabaki kuwa ukweli kwamba JPM hajafanya JIPYA kwa miaka mitano.
 
Hakuna kipindi kizuri Tanzania kwa kiongozi anaye jielewa na wale wanao chipukia kupanda ngazi za kiuongozi kwa merits kama awamu ya 5 ya JPM.

Wewe naona unaishi zama za kuwa na jina la kiongozi kutoka mfukoni kwa Rais. Wengi wa aina hiyo wamepotea.
Mkuu,wewe ndo hujui unaishi zama zipi....Kamati ya sifa na utukufu nod inapanda cheo
 
Huu ni mtazamo wangu binafsi kama mtu ambaye ninaamini kwamba kila ninachowaza ni sahihi

Kipimo cha Ubora wa Kiongozi sio vitu kama madaraja,barabara,nyumba etc.Hivyo nivitu viddogo sana ambavyo vinafanywa na wataalamu wa maeneo husika cha muhimu ni PESA ziwepo.

Kipimo cha Kiongozi yoyote yule wa ngazi yoyte ile ni uwezo wake wa kuzalisha viongozi.

Katika kipimo hiki,Magufuli amefeli sana,Yaani kama ni mtihani amepata sifuri,na carry humo humo.

Nasema kwa sababu najua ninachosema na kuona kinachoendelea.Magufuli hajaweza kuzalisha hata KIONGOZI mmoja katika kipindi cha Uongozi wake na hata wale viongozi wachache alioachiwa nao amewaharibu na kuwavuruga vuruga mpaka hata hawajielewi tena.Tumekuwa na RAIS wa ajabu sana kwa kipindi hiki cha miaka mitano.

Najua kuna ambao wanataka kumlinganisha na JK.JK amezalisha Viongozi wengi sana.Amewajenga na kuwakuza viongozi wengi sana kwa kuwapa fursa na kuwajengea uwezo.

Tusimlinganishe Kikwete na itu vya ajabu bwana.Nawashangaa sana wanaojaribu kumfananisha mzee wa Msoga na watu ambao wamebaki na Nchi ambayo ni FAILED

Tuache kuwa wanafiki.Magufuli hastahili hata kufunga lijamu ya kiatu cha Kikwete.Amalizie tu uongozi wake apishe mtu mwingine ambaye ataweza kurudisha heshima ya taifa letu.

Kama unabisha weka evidence hapa
Upo sahihi sana kwa kifupi magu ni very incompetent walimchagua tu kwa sababu ya kuokoa jahazi kwa kura za kikabila wakati ule ila hafai na kila mtu anajuta.
 
Kazi yenu sasa ni kuisifu CCM Kwa mgogo wa Kikwete mliyekuwa mkimwita Dhaifu' mnalamaana nyinyi?

Sio Raisi Kwa mpinzani yeyote kumkubali Magufuli, Kwa kufanya hivyo anaogopa anaweza kupunguza wapiga Kura wake ambao ni wachache zaidi, Kwa uchache Wao ndio mnawalinda Kwa kutokukubali mziki wa JPM, mmelogwa nyinyi!

Mbali na hayo, kipigo kipo palepale
 
Hakuna kipindi kizuri Tanzania kwa kiongozi anaye jielewa na wale wanao chipukia kupanda ngazi za kiuongozi kwa merits kama awamu ya 5 ya JPM.

Wewe naona unaishi zama za kuwa na jina la kiongozi kutoka mfukoni kwa Rais. Wengi wa aina hiyo wamepotea.
Viongozi wa awamu ya 5 ni wa kupongeza na kuimba sifa ili wachaguliwe.

Hakuna weledi hapo.
 
Huyu bwana vitu Vinci alivifanya kwa kukurupuka sana anashindwa tu kukiri kuwa hakuna amabacho kitakuwa na mwisho mwema labda alichoweza ni kuwatisha watumishi wa umma mpaka siku hizi hawaandamani kama kipindi cha JK
Yeye anasema hakuna kiongozi atakaye weza kufanya kama alivyo fanya yeye
 
Huu ni mtazamo wangu binafsi kama mtu ambaye ninaamini kwamba kila ninachowaza ni sahihi

Kipimo cha Ubora wa Kiongozi sio vitu kama madaraja,barabara,nyumba etc.Hivyo nivitu viddogo sana ambavyo vinafanywa na wataalamu wa maeneo husika cha muhimu ni PESA ziwepo.

Kipimo cha Kiongozi yoyote yule wa ngazi yoyte ile ni uwezo wake wa kuzalisha viongozi.

Katika kipimo hiki,Magufuli amefeli sana,Yaani kama ni mtihani amepata sifuri,na carry humo humo.

Nasema kwa sababu najua ninachosema na kuona kinachoendelea.Magufuli hajaweza kuzalisha hata KIONGOZI mmoja katika kipindi cha Uongozi wake na hata wale viongozi wachache alioachiwa nao amewaharibu na kuwavuruga vuruga mpaka hata hawajielewi tena.Tumekuwa na RAIS wa ajabu sana kwa kipindi hiki cha miaka mitano.

Najua kuna ambao wanataka kumlinganisha na JK.JK amezalisha Viongozi wengi sana.Amewajenga na kuwakuza viongozi wengi sana kwa kuwapa fursa na kuwajengea uwezo.

Tusimlinganishe Kikwete na itu vya ajabu bwana.Nawashangaa sana wanaojaribu kumfananisha mzee wa Msoga na watu ambao wamebaki na Nchi ambayo ni FAILED

Tuache kuwa wanafiki.Magufuli hastahili hata kufunga lijamu ya kiatu cha Kikwete.Amalizie tu uongozi wake apishe mtu mwingine ambaye ataweza kurudisha heshima ya taifa letu.

Kama unabisha weka evidence hapa
We acha uongo Kazalisha Makonda, Bashiru, Palamagamba, Mnyeti, Gambo, Katambi, wengi tu mbona.
 
Kazi yenu sasa ni kuisifu CCM Kwa mgogo wa Kikwete mliyekuwa mkimwita Dhaifu' mnalamaana nyinyi?

Sio Raisi Kwa mpinzani yeyote kumkubali Magufuli, Kwa kufanya hivyo anaogopa anaweza kupunguza wapiga Kura wake ambao ni wachache zaidi, Kwa uchache Wao ndio mnawalinda Kwa kutokukubali mziki wa JPM, mmelogwa nyinyi!

Mbali na hayo, kipigo kipo palepale
Kiketwe alikuwa dhifua lakini Magu ni dhaifu zaidi.
 
Back
Top Bottom