Kasema ukweli kuwa kuna mambo hawezi kupambana nayo akiwa ndani ya ccm, bahati mbaya hao hao waliotibua ndani ya ccm wamehamia vyama mbadala mbaya zaidi nako wameshika hatamu za uongozi, bora tuache akomae nao humo humo.
Hivi kweli leo Tundu Lissu ni wa kukaa meza moja na Lowasa? Hapana tubaki tu na Magufuli atindue atakapoweza basi.
Hivi kweli leo Tundu Lissu ni wa kukaa meza moja na Lowasa? Hapana tubaki tu na Magufuli atindue atakapoweza basi.