mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,251
Cive-Udom ni wanasiasa sana ccm wanataka udc
Labda nikuulize,umesoma IT? Ili nijue wapi pa kuanzia kukuelekeza.
Pia Kijana,kutengeneza program si kazi ya mchezo hasa kwenye security na hapo kwenye sercurity ndo mahali pa kucheza na algorithm za hatari ambazo wanafunzi wengi tu katika algorithm tunakimbia.
Kwanini makampuni makubwa kama bank hazitoi kazi kwa Watanzania ili wawatengenezee program zao za kibank.
Hebu tutolee na ww tuone kama unaweza,,kusema unafanana na facebook,angekuambia kitaalamu zaid kuwa amegundua social network kwa jina la 2daysky ucngeelewa,,kakurahisishia maana alijua watu kama nyie hamkosekanagi,so mnahitaj mifano zaid kueleweshwa napo mnakuwa wagumu kuelewa,,Sasa huko ni kugundua au kutoa photocopy?
Sasa huko ni kugundua au kutoa photocopy?
Kwa hiyo hata hao malecture nao hakuna kitu c ndo hivyo????jamaa katolea mfano wa chuo cha udom,,but wapo wengi watz ambao ni wataalam wa it,wengine wamesomea nje ya nchi,,angewaita alafu tuone kama wangeshindwa anachokihitaj..IT haipo kiivyo sana kwamba ukimaliza tu chuo basi unaweza fanya vitu vya ajabu hadi kuitwa mtaalamu.
Inaweza kuchukua miaka zaidi ya 10 kujiweza katika Coding japo wakati unamaliza chuo unajiona unaweza fanya vitu vingi.
IT inachangamoto nyingi kiasi kwamba uzembe kidogo tu,unaleta hasara kubwa kwa kampuni au nchi hasa masuala ya security.
Hivyo huwezi sema UDOM kuna watu wamemaliza na kuwaita wameiva kisawasawa kukabili changamoto za IT.Najua unazungumzia vikazi vidogo vidogo vya kutengeneza application lakini mtu huyo huyo kutengeneza utilitues s/w inakuwa ni kazi sasa hapo atawezaje kufanya security ya kazi zake n.k
Hujui chochote cha IT Acha kudanganya "certificate za Oracle"?Mkuu,sijazungumzia lolote kuhusu hao wataalam wa Rwanda na inawezekana hao wataalamu wa Rwanda wanaozungumziwa sio hawa waliomaliza shule juzi tu na kuitwa wataalamu.Nime-challenge tu kwa mtoa mada kuwa kumaliza chuo tu sio kwamba ndo mtu anakuwa expert wa kumtegemea katika IT.
Nikuulize inajua ni kwanini unatoka na bachelor yako chuoni ila unapoenda kwenye makampuni mengine makubwa wanataka angalau mtu mwenye certificate za mfano CCNA,certificate za Oracle n.k Ukijibu hapo ndo uje uniulize maswali sasa
Kwani wale wataalamu wa It wa chadema wapo wapi?Ndugu wanabodi salaam.
Awali ya yote nimesikitishwa na kauli ya Rais Magufuli kutangaza kuwa anakwenda kuajili wataalamu wa IT kutoka nchini Rwanda kuja kudhibiti upotevu wa mapato ya kodi nchini Tanzania.
Cha kusikitisha zaidi wakati Mh Rais ana mpango huo tuna Chuo Kikuu Cha Dodoma college of informatics (CIVE) kinatoa wataalamu wazuri sana wa maswala ya IT.
Ni college iliyojengwa kwa kodi za wananchi na ufadhili wa Bill Gate. Vijana hawa wapo vizuri sana kwani ni juzi tu hapa kijana wa hapo UDOM amegundua mtandao unaoelekeana na Facebook unaoitwa 2daysky leo hii ni dharau iliyoje Mh. Rais kudharau uwezo wa vijana wetu hawa.
Ku wapi kubana matumizi?
Hiki chuo kilijengwa cha nini kama hatuamini products zake?
Ndugu wanabodi salaam.
Awali ya yote nimesikitishwa na kauli ya Rais Magufuli kutangaza kuwa anakwenda kuajili wataalamu wa IT kutoka nchini Rwanda kuja kudhibiti upotevu wa mapato ya kodi nchini Tanzania.
Cha kusikitisha zaidi wakati Mh Rais ana mpango huo tuna Chuo Kikuu Cha Dodoma college of informatics (CIVE) kinatoa wataalamu wazuri sana wa maswala ya IT.
Ni college iliyojengwa kwa kodi za wananchi na ufadhili wa Bill Gate. Vijana hawa wapo vizuri sana kwani ni juzi tu hapa kijana wa hapo UDOM amegundua mtandao unaoelekeana na Facebook unaoitwa 2daysky leo hii ni dharau iliyoje Mh. Rais kudharau uwezo wa vijana wetu hawa.
Ku wapi kubana matumizi?
Hiki chuo kilijengwa cha nini kama hatuamini products zake?
IT inachangamoto nyingi kiasi kwamba uzembe kidogo tu,unaleta hasara kubwa kwa kampuni au nchi hasa masuala ya security.
Hivyo huwezi sema UDOM kuna watu wamemaliza na kuwaita wameiva kisawasawa kukabili changamoto za IT.Najua unazungumzia vikazi vidogo vidogo vya kutengeneza application lakini mtu huyo huyo kutengeneza utilitues s/w inakuwa ni kazi sasa hapo atawezaje kufanya security ya kazi zake n.k
Kama nchi nzima hatuna mwadilifu, tunajuaje hata hiyo approach ya kuleta wataalam toka Rwanda si harakati za upigaji?NDUGU....
Tatizo sio usomi na wasomi...
Tatizo upigaji, hatuna uadilifu wala uzalendo
Mwanao akishindwa kuuza duka, BORA UAJIRI MTUMISHI...
It's just as simple...
Mshaurini kama atasikia. Niliambiwa yeye anajua yote, wala hahitaji msaada wa maoni ya mtu.Umesema sawa!
Kiukweli hatuwezi kuwategemea UDOM hawa ni wachanga ktk field!
Ila kuna a thousands of Tanzanians duniani wanatoa huduma ktk mataifa mengine, pay them, warudishe nyumbani ndugu zetu! Shida unapofikiri kubana matumizi unapodeal na Watanzania Ila unawish kuspend kwa wageni! Mfano kama mnyarwanda atataka kulipwa 1,000/- na Mtanzania 100,000/- bado ni gharama nafuu kumlipa mtanzania pesa itakayozunguka nchini, kuliko kulipa buku ambayo ndio hairudi tena ktk mzunguko wetu!
Hili la kukodi wanyarwanda likifanyika, awamu ya 5 itaingia ktk mgogoro mkubwa sana na Watanzania na wengi tutaongea ktk ballot box 2020! Ile dhamira njema serikali ya yetu itatoweka! Lakini for centuries tutalipia gharama za urafiki huu wa mashaka!
Hujui chochote cha IT Acha kudanganya "certificate za Oracle"?
Ndio.
Labda tuanzie hapo kwenye security, threads hazina haja ya security.
Suala la security litaanzia kwenye sub-programs hapo ndipo kazi inaanza, na hiyo inafanywa na consultant sio hao vijana wa vyuoni. Na hii inafanyika mara nyingi sana.
Vijana wa kihindi/ Africa hufanya uploads za threads huko Ulaya na Marekani.
N.B. algorithm ya security huanzia kwenye sub-programs na kwenye program yenyewe na huyu consultant wa mwisho ndio mwenye kudhibiti security algorithms zote.