Mheshimiwa Mnyika!Kupanda au kushuka kwa bei ya bidhaa yoyote inategemea na "simple theory of demand and supply". Masuala ya kupanga bei yaachiwe soko kwani usafiri uko huria na dynamics hizo zitumike.
Ushauri wangu kwa Mheshiwa Mnyika tuhifadhi nguvu tuanzishe mpambano hapo EWURA ya CCM inayongozwa na Rostam Aziz mmiliki wa mitambo iliyopewa exclusive right ya kuzalisha umeme wa dharura ya Symbion na Aggreko watakapotangaza ongezeko la tariff ya umeme kwa asilimia zisizopungua 100%.
Tatizo kubwa na Siri ambayo imefichika ni kwa nini utaratibu wa kumpata hizo kampuni za CCM kwa baraka za Jakaya Mrisho Kikwete ulivyokiuka taratibu zone za Public procurement lakini PPRA na hata huyo Werema na Hazina kwa kupitia kwa ma MC- Williams ulivyoendeshwa.
Hapo tutahitaji nguvu za ziada. Nauli za vivuko vyote viko juu Kigamboni I am told ndiyo ya chini zaidi! Tuangalie na kushupalia bei ya umeme ambayo inagusa kila mtu nchi nzima aliye hai na hata !
Ushauri wangu kwa Mheshiwa Mnyika tuhifadhi nguvu tuanzishe mpambano hapo EWURA ya CCM inayongozwa na Rostam Aziz mmiliki wa mitambo iliyopewa exclusive right ya kuzalisha umeme wa dharura ya Symbion na Aggreko watakapotangaza ongezeko la tariff ya umeme kwa asilimia zisizopungua 100%.
Tatizo kubwa na Siri ambayo imefichika ni kwa nini utaratibu wa kumpata hizo kampuni za CCM kwa baraka za Jakaya Mrisho Kikwete ulivyokiuka taratibu zone za Public procurement lakini PPRA na hata huyo Werema na Hazina kwa kupitia kwa ma MC- Williams ulivyoendeshwa.
Hapo tutahitaji nguvu za ziada. Nauli za vivuko vyote viko juu Kigamboni I am told ndiyo ya chini zaidi! Tuangalie na kushupalia bei ya umeme ambayo inagusa kila mtu nchi nzima aliye hai na hata !