Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Wakuu kwema?
Nataka kuwakumbusha kuwa Rais Magufuli hajaanza kazi rasmi, na akiingia awamu ya pili tutaona kazi yake.
Hapo ndipo ataanza kutumbua majipu rasmi.
Hapo ndipo ataanza kubana fedha.
Hapo ndipo tutaanza kutafutana.
Mimi siko upande wa team Magufuli ila kwa design ya watu ambao wanadhaniwa huenda wakasimama na Magufuli 2020 ni heri baba Jesca aendelee kututawala.
Nataka kuwakumbusha kuwa Rais Magufuli hajaanza kazi rasmi, na akiingia awamu ya pili tutaona kazi yake.
Hapo ndipo ataanza kutumbua majipu rasmi.
Hapo ndipo ataanza kubana fedha.
Hapo ndipo tutaanza kutafutana.
Mimi siko upande wa team Magufuli ila kwa design ya watu ambao wanadhaniwa huenda wakasimama na Magufuli 2020 ni heri baba Jesca aendelee kututawala.