Magufuli Bus Terminal haijakidhi viwango vya kuitwa stendi ya Kimataifa

Kambi ya Fisi

JF-Expert Member
Feb 3, 2018
13,463
21,945
Wapendwa jana nilikwenda kupokea mgeni kutoka mkoani ambaye aliniomba nikampokee pale Mbezi Luis kwenye stand mpya ya Magufuli, binafsi nilikuwa sijawahi kuingia ndani ya hiyo stand tangu izinduliwe Ila mara nyingi nimesikia na kusoma ktk vyombo vya habari hapa Tanzania wakiisifia kuwa ni stand ya kimataifa

Hata hivyo kila nilipopita Morogoro rd hapo Mbezi Luis niliona kwa nje jengo hilo limavutia kwa macho hivyo nikawa naamini kuwa kweli ni stand ya kimataifa.

Jana basi ndio nikaingia humo ndani kwa mara ya kwanza ili nipokee mgeni kutoka mkoani, kwa kweli stand hiyo ni ya kimtaa na sio kimataifa kwa sababu

1. Hakuna alama ama maelekezo yoyote kwa mgeni isipokuwa kuna utitiri wa machinga, wapiga debe, wabeba mizigo wenye kuleta usumbufu kwa abiria.

2. Hakuna taarifa yoyote kuhusu kuwasili kwa basi husika

3. Hakuna viti vya kukaa kwa wale wanaosubiria wageni wao.
(mfano, stand za mwendo kasi kuna mabenchi ya kukaa kwa abiria waosubiria usafiri) lakini kwa hii stand unakalia kingo ya parking

4. Mrundikano wa wauza mikate walioweka meza zao za mikate pasipo mpangilio wowote, wauza Jojo, wauza fegi, wauza dawa za kienyeji na mambo mengi yanayo fanana na hayo

Sijajua hasa mataifa gani yanaitumiaga hii stand hadi iitwe stand ya kimataifa Ila najua chinga, wasukuma mikokoteni na maasai wauza mitishamba ndio watumiaji wakuu kibiashara ktk hii stand na wote ni watanzania tu

Anayejua ukimataifa wa hii stand ulipo anijuze tafadhari.
PHOTO_20210620_152904.jpg
PHOTO_20210620_164020.jpg
PHOTO_20210620_164009.jpg
 
Wapendwa jana nilikwenda kupokea mgeni kutoka mkoani ambaye aliniomba nikampokee pale Mbezi Luis kwenye stand mpya ya Magufuri, binafsi nilikuwa sijawahi kuingia ndani ya hiyo stand tangu izinduliwe Ila mara nyingi nimesikia na kusoma ktk vyombo vya habari hapa Tanzania wakiisifia kuwa ni stand ya kimataifa

Hata hivyo kila nilipo pita Morogoro rd hapo Mbezi Luis niliona kwa nje jengo hilo limavutia kwa macho hivyo nikawa naamini kuwa kweli ni stand ya kimataifa.

Jana basi ndio nikaingia humo ndani kwa mara ya kwanza ili nipokee mgeni kutoka mkoani, kwa kweli stand hiyo ni ya kimtaa na sio kimataifa kwa sababu

1. Hakuna alama ama maelekezo yoyote kwa mgeni isipokuwa kuna utitiri wa machinga, wapiga debe, wabeba mizigo wenye kuleta usumbufu kwa abiria.

2. Hakuna taarifa yoyote kuhusu kuwasili kwa bus husika

3. Hakuna viti vya kukaa kwa wale wanaosubiria wageni wao.
(mfano, stand za mwendo kasi kuna mabenchi ya kukaa kwa abiria waosubiria usafiri) lakini kwa hii stand unakalia kingo ya parking

4. Mrundikano wa wauza mikate walioweka meza zao za mikate pasipo mpangilio wowote, wauza Jojo, wauza fegi, wauza dawa za kienyeji na mambo mengi yanayo fanana na hayo


Sijajua hasa mataifa gani yanaitumiaga hii stand hadi iitwe stand ya kimataifa Ila najua chinga, wasukuma mikokoteni na maasai wauza mitishamba ndio watumiaji wakuu kibiashara ktk hii stand na wote ni watanzania tu

Anayejua ukimataifa wa hii stand ulipo anijuze tafadhari.
View attachment 1837197View attachment 1837198View attachment 1837201
Waliharakisha tu kuifungua! Hii stand bado ina ujinga mwingi Sana ndani,na nje pia!! Ina ujinga mwingi nje na ndani!!
 
Tunatengeneza vitu vizuri sana, tatizo letu ni usimamizi. We're very poor at management. Japo hiyo stand hsijaisha kwa 100%, lakini ninachokiona pale ni marudio ya usimamizi mbovu kama wa mabasi ya mwendokasi.

Sijui nani katuloga watanzania!!!
 
Tunatengeneza vitu vizuri sana, tatizo letu ni usimamizi. We're very poor at management. Japo hiyo stand hsijaisha kwa 100%, lakini ninachokiona pale ni marudio ya usimamizi mbovu kama wa mabasi ya mwendokasi.

Sijui nani katuloga watanzania!!!
Wenye dhamana wanajali matumbo yao zaidi, hapo ndipo urogaji unapoanzia na kuharibu mazuri ya kesho
 
Wapendwa jana nilikwenda kupokea mgeni kutoka mkoani ambaye aliniomba nikampokee pale Mbezi Luis kwenye stand mpya ya Magufuri, binafsi nilikuwa sijawahi kuingia ndani ya hiyo stand tangu izinduliwe Ila mara nyingi nimesikia na kusoma ktk vyombo vya habari hapa Tanzania wakiisifia kuwa ni stand ya kimataifa

Hata hivyo kila nilipo pita Morogoro rd hapo Mbezi Luis niliona kwa nje jengo hilo limavutia kwa macho hivyo nikawa naamini kuwa kweli ni stand ya kimataifa.

Jana basi ndio nikaingia humo ndani kwa mara ya kwanza ili nipokee mgeni kutoka mkoani, kwa kweli stand hiyo ni ya kimtaa na sio kimataifa kwa sababu

1. Hakuna alama ama maelekezo yoyote kwa mgeni isipokuwa kuna utitiri wa machinga, wapiga debe, wabeba mizigo wenye kuleta usumbufu kwa abiria.

2. Hakuna taarifa yoyote kuhusu kuwasili kwa bus husika

3. Hakuna viti vya kukaa kwa wale wanaosubiria wageni wao.
(mfano, stand za mwendo kasi kuna mabenchi ya kukaa kwa abiria waosubiria usafiri) lakini kwa hii stand unakalia kingo ya parking

4. Mrundikano wa wauza mikate walioweka meza zao za mikate pasipo mpangilio wowote, wauza Jojo, wauza fegi, wauza dawa za kienyeji na mambo mengi yanayo fanana na hayo


Sijajua hasa mataifa gani yanaitumiaga hii stand hadi iitwe stand ya kimataifa Ila najua chinga, wasukuma mikokoteni na maasai wauza mitishamba ndio watumiaji wakuu kibiashara ktk hii stand na wote ni watanzania tu

Anayejua ukimataifa wa hii stand ulipo anijuze tafadhari.
View attachment 1837197View attachment 1837198View attachment 1837201
Ni Stendi nzuri sana tu isipokuwa Uratibu na Usimamizi wake kutoka kwa Mamlaka husika na Upangiliaji wake ndiyo wa Kipuuzi ambao pia umeshatufanya Watanzania wote pia tuonekane ni Wapuuzi pia wakati si kweli.
 
Wapendwa jana nilikwenda kupokea mgeni kutoka mkoani ambaye aliniomba nikampokee pale Mbezi Luis kwenye stand mpya ya Magufuri, binafsi nilikuwa sijawahi kuingia ndani ya hiyo stand tangu izinduliwe Ila mara nyingi nimesikia na kusoma ktk vyombo vya habari hapa Tanzania wakiisifia kuwa ni stand ya kimataifa

Hata hivyo kila nilipo pita Morogoro rd hapo Mbezi Luis niliona kwa nje jengo hilo limavutia kwa macho hivyo nikawa naamini kuwa kweli ni stand ya kimataifa.

Jana basi ndio nikaingia humo ndani kwa mara ya kwanza ili nipokee mgeni kutoka mkoani, kwa kweli stand hiyo ni ya kimtaa na sio kimataifa kwa sababu

1. Hakuna alama ama maelekezo yoyote kwa mgeni isipokuwa kuna utitiri wa machinga, wapiga debe, wabeba mizigo wenye kuleta usumbufu kwa abiria.

2. Hakuna taarifa yoyote kuhusu kuwasili kwa bus husika

3. Hakuna viti vya kukaa kwa wale wanaosubiria wageni wao.
(mfano, stand za mwendo kasi kuna mabenchi ya kukaa kwa abiria waosubiria usafiri) lakini kwa hii stand unakalia kingo ya parking

4. Mrundikano wa wauza mikate walioweka meza zao za mikate pasipo mpangilio wowote, wauza Jojo, wauza fegi, wauza dawa za kienyeji na mambo mengi yanayo fanana na hayo


Sijajua hasa mataifa gani yanaitumiaga hii stand hadi iitwe stand ya kimataifa Ila najua chinga, wasukuma mikokoteni na maasai wauza mitishamba ndio watumiaji wakuu kibiashara ktk hii stand na wote ni watanzania tu

Anayejua ukimataifa wa hii stand ulipo anijuze tafadhari.
View attachment 1837197View attachment 1837198View attachment 1837201

Kwa kweli wewe ni kambi ya fisi ambayo inangoja mfupa uanguke
 
Ni Stendi nzuri sana tu isipokuwa Uratibu na Usimamizi wake kutoka kwa Mamlaka husika na Upangiliaji wake ndiyo wa Kipuuzi ambao pia umeshatufanya Watanzania wote pia tuonekane ni Wapuuzi pia wakati si kweli.
Hata muonekano kwa nje ni mzuri sana Ila ukiingia ndani hapo ndipo utaona kweli hakuna wasimamizi wenye kwenda na wakati
 
Sitendi ya msamvu Morogoro itabaki kuwa sitendi Bora kabisa,ukiingilia kwa mbele huna haja ya kuuliza,kuna screen kubwa inakupa taalifa za mabasi yote ,muda yatakayofika,au yaliyomo ndani na muda wa kuondoka na abilia wamekaa kwenye viti.

images-4.jpeg


images-3.jpeg
 
Kuna WACHAGA walijenga mahotel na magesti pembeni ya stendi ya ubungo.

Kitendo cha kuhamisha hiyo stendi ni pigo la karne. Wanaweweseka hawajui watalipaje hiyo mikopo.

Wanaichukia kweli kweli stendi ya Magufuli.

Nyinyi WACHAGA wala hamtusumbui. Tunawatambua kuliko.

Wenzenu wanachangamka wanawekeza vitega uchumi kwenye stendi mpya, nyinyi mnalia lia mitandaoni!
Mie sio mchaga ujue so usidhani kila mkosoaji ni mchaga, uli mbuli gete Samike
 
Hebu nenda kwenye international Airport yoyote ukajionee mpangilio ya kimataifa huko ndipo utapata jibu zuri la swali lako
Sio kila kitu ni kuiga iga tu hovyo!

Structures zinajengwa kulingana na mahitaji yake!

Idadi ya wasafiri pia inazingatiwa.

Tatizo lenu nyinyi ni ujuaji ujuaji tu. Kujitia werevu mwiiiingiiii.....

Kukosoa kosoa tu... kujifanya mnanata.... eti haina vigezo!!!

Wewe ni injinia?

Watu kama nyinyi ni kutandikwa bakora na kugongwa nakozi!

Hamueleweki na hamjitambui.
 
Back
Top Bottom