Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,462
- 21,945
- Thread starter
- #81
Hahahaa hata mie sijui kwa nini huwa wanafanya hivyoumesahau wauza mayai
bado najiuliza kwa nini wanaweka chumvi nje ya yai
Hahahaa hata mie sijui kwa nini huwa wanafanya hivyoumesahau wauza mayai
bado najiuliza kwa nini wanaweka chumvi nje ya yai
Ni pachafu sanaNilisafiri hivi majuzi, pale nilikuta kuna uchafu tu, hakuna cha stendi ya kisasa wala nini....
halafu chumvi inabaki exposed nje ya yai siku nzima...Hahahaa hata mie sijui kwa nini huwa wanafanya hivyo
Pole sana mkuu, siku nyingine akikusumbua majibu kwa kichina atasepa kimya kimyaKule juu kuna lounge kubwa tu.
Bado haijaisha kwa kiwango chote.
Wapiga debe ni changamoto bado.
Mmoja nilimwambia sijisikii kuongea na wewe. Akaniamba hajawahi kujibiwa na binadamu vile.
Umewahi kuingia Msamvu bus terminal?Ebu tuambie Stand gani zilizopo maeneo mengine au kwenye mikoa mingine tunaweza kulinganisha na ile.
Leta taarifa kuwa kuna mabasi yanakosa nafasi kuingia na kupaki ndani
Hahahahah .Pole sana mkuu, siku nyingine akikusumbua majibu kwa kichina atasepa kimya kimya
Ni sahii tuna tofautiana kiakili, lakini naomba hata hivyo uelewe kuwa tunaweza tukawa na akili sawa, bado tukatofautiana kimaarifa na exposure.Najua sio wote wanaoweza kuelewa kwa sababu tunatofautiana kiakili Ila nimeona wapo watu wengi hawakubali hii stendi kuitwa ya kimataifa kwa kuwa ipo kishamba mno hasa humo ndani.
Mie sio mhandisi bali ni raia wa kawaida ambaye nina macho ya kuona na masikio ya kusikia hivyo niliyoyaona ndani ya hiyo Bus terminal hainishawishi nitoe pendekezo la kiufundi kufanya marekebisho bali nasema tuache kudanganyana tuseme tu ukweli mkandarasi hakuwa na uwezo wa kujenga hiyo bus terminal Ila alipewa hiyo kazi.
Kuhusu ubora wa flyover siwezi kuzisifu hizo flyover kuwa zipo vyema, kwa taarifa tu bado bado kuna foleni pale ubungo na Tazara hivyo bado shida ni kubwa na wanaoleta hiyo shida ni wasimamizi wasio na uwezo wa kufanya kazi
Asubuhi kuna sehemu kibao zinanuka mikojo washenzi hawajui vyoo vilipoStendi pembeni ina bonge la shimo, nusura nizame mule usiku
Wapendwa jana nilikwenda kupokea mgeni kutoka mkoani ambaye aliniomba nikampokee pale Mbezi Luis kwenye stand mpya ya Magufuli, binafsi nilikuwa sijawahi kuingia ndani ya hiyo stand tangu izinduliwe Ila mara nyingi nimesikia na kusoma ktk vyombo vya habari hapa Tanzania wakiisifia kuwa ni stand ya kimataifa
Hata hivyo kila nilipopita Morogoro rd hapo Mbezi Luis niliona kwa nje jengo hilo limavutia kwa macho hivyo nikawa naamini kuwa kweli ni stand ya kimataifa.
Jana basi ndio nikaingia humo ndani kwa mara ya kwanza ili nipokee mgeni kutoka mkoani, kwa kweli stand hiyo ni ya kimtaa na sio kimataifa kwa sababu
1. Hakuna alama ama maelekezo yoyote kwa mgeni isipokuwa kuna utitiri wa machinga, wapiga debe, wabeba mizigo wenye kuleta usumbufu kwa abiria.
2. Hakuna taarifa yoyote kuhusu kuwasili kwa basi husika
3. Hakuna viti vya kukaa kwa wale wanaosubiria wageni wao.
(mfano, stand za mwendo kasi kuna mabenchi ya kukaa kwa abiria waosubiria usafiri) lakini kwa hii stand unakalia kingo ya parking
4. Mrundikano wa wauza mikate walioweka meza zao za mikate pasipo mpangilio wowote, wauza Jojo, wauza fegi, wauza dawa za kienyeji na mambo mengi yanayo fanana na hayo
Sijajua hasa mataifa gani yanaitumiaga hii stand hadi iitwe stand ya kimataifa Ila najua chinga, wasukuma mikokoteni na maasai wauza mitishamba ndio watumiaji wakuu kibiashara ktk hii stand na wote ni watanzania tu
Anayejua ukimataifa wa hii stand ulipo anijuze tafadhari.
View attachment 1837197View attachment 1837198View attachment 1837201