fenestra rotunda
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 608
- 614
Wewe mchumia tumbo kiwango chako nani???tena wewe KIWANGO CHAKO ni chini ya JESCA
Wewe mchumia tumbo kiwango chako nani???tena wewe KIWANGO CHAKO ni chini ya JESCA
labda familia yako ndo inafaidika na inaona raha,katika maswala nyeti kama haya mtu mzima kama wewe hupaswi kujitoa ufahamu na kuamisha akili yako tumboni,inaonekana uko very arrogant na egocentric.. Unawaza tumbo lako tuu ili umfurahishe mkubwa wako na nyie ndo type ya watu tunaotaka kuwakomboa kifikra ili msiwe mnafuata upuuzi kama nzi nanavyofuata harufu ya ushuzi bila kujua chanzo chake kiwa ni kipi.MAGUFULI ANAIONGOZA NCHI VIZURI MNO HADI RAHA
Haaaah mkuuTatizo Mheshimiwa hatofautuishi kati ya familia yake na taifa. Wote anatuchukulia sawa na kiwango cha Jeescaa!
Afathari kukalia uzushi kuliko kulipwa buku saba kutetea matapelimmekalia majungu uzushi uongo na uzandiki, acheni hizooo, fanyeni kazi
Hata anapoongea uongo watendaji wanamuumbua....MAGUFULI ANAIONGOZA NCHI VIZURI MNO HADI RAHA
Wamejaa kila nchi ya kusini Mwa jangwa la sahara....Umeongea pointi kabisa. Ukifika South Africa Wazimbabwe ndio wafanyakazi wa majumbani na wanaume wakifanya kazi za u watchman. Endeleeni tu kuvumilia si mliambiwa Lowassa ni mgojwa
Lumumba FC.....eti mkuu hujapitia buku 7 leo maeneoMAGUFULI ANAIONGOZA NCHI VIZURI MNO HADI RAHA
Naomba kazi Mkuummekalia majungu uzushi uongo na uzandiki, acheni hizooo, fanyeni kazi
Tatizo hata mkulu anaishi maisha ya maigizo na uongoKupanga ni kuchagua, wewe unachagua kipi?
1. Kuishi maisha mazuri lakini yasiyo na uhalisia wowote na wewe mwenyewe, yaani unatumia usichokuwa nacho; unakopa kokote kule, unatapeli kokote kule lakini kila kitu home kinaenda vizuri kabisa. Watoto wanaenda shule aka academia, Matibabu safi kabisa, Msosi balanced, Usafiri yaani gari ya mkopo ipo safi kabisa muda wote wese full tank, Nyumba ya kupanga ila classic nk.
VS
2. Kuishi kiuhalisia, yaani unatumia ulichonacho, hapa unajikuta huna hata nauli ya kwenda kazini siku nyingine sababu mtoto amekudai ada, matibabu ya kuungaunga, nyumba ya kawaida tena vyumba vingine havina milango ila ni yako, TV inchi 18 Azam miezi mingine wanakata sababu hujalipia, Usafiri upo wa kawadia (Vitz) ila muda mwingine unakosa wese inabidi upige daladala, Ugali maharage, mchicha, kunde ama makande unbalanced diet!
Kazi ziko wapimmekalia majungu uzushi uongo na uzandiki, acheni hizooo, fanyeni kazi
Aisee!!Mliishi kama wafalme wakati baba zetu wakiwashibisha kwa kodi zetu na jasho letu. Mungu ametuletea Mkombozi na sasa ni zamu yetu. Katika kuijenga nchi iliyojaa vidonda vya uroho na dhuruma mliyotufanyia, tunaona fahari kuendelea na uvumilivu tukitumaini maziwa na asali baadae. tuliishi kwa mateso na manyanyaso zaidi ya haya kutoka kwa wazazi wenu na hatukuwa na matumaini. Dira sasa inaonekana wazi mnateseka kwa kuwa hakuna matumaini kwenu kuendeleza dhuruma mlizokuwa mmezoea. Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbarika rais wetu Mpendwa magufuli, na mungu wabariki wachapa kazi wote Tanzania.
MAGUFULI ANAIONGOZA NCHI VIZURI MNO HADI RAHA