Abel Ndundulu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 845
- 383
Picha juu(Babu na Bibi yake Magufuli) na chini ni makaburi yao.
*Kaburi halihitaji mbwembwe...
*Kaburi halihitaji mbwembwe...
Sio fisadi
Sio fisadi
kwani mshahara wake hautoshi? We sema ni mtu ambaye hajali!
Sasa hajali kwao sijui watz wa kawaida itakuwaje!
Upendo kwa mtu aliyetangulia mbele ya haki upo moyoni. Ni bora zaidi kumgeukia Mungu kumuombea rehema marehemu wako kuliko kuremba makaburi. Hizo ni sifa tu za binadamu hapa duniani, wala hazimsaidii lolote marehemu huko alipo. Makaburi yanatakiwa yasafishwe tu na kutunzwa kulinda yasipotee kwa faida ya historia tu si vinginevyo.
unahitaji uwefisadi kuyajengea makaburi ya wapendwa wako?Sio fisadi
Duuuu kumsitiri ndugu yako ni ufisadi? Tatizo sio wewe bali elimu!
kama unashindwa kujenga makaburi viwanda utaweza
Sijui kwa nini walimpeleka kwenye makaburi hayo , magufuri anashindwa hata kuweka tiles , nimemshinda hata mimi kapuku nimeweka tiles kaburi la babu yangu na bibi yangu.
Hii ni aibu kwa ccm kwa kumpeleka kwenye makaburi hayo.