Magufuli awaomba wanawake wa Tanzania wazae kwa wingi ili uchumi ukue

Ushasikia tz hakuna resources.
Natural resources(if that's what you mean) are very limited.Why don't you heed to that call and add two to your unit(family) to make, say seven and see how that strains you as their dependants.Thirty years later you'll have Two well educated,well brought up and three "sumbuas".Amplify that to a national look. Magu is more chizi than clever.
Tzs economy is better off in the hands of few well skilled very productive human resource than big but dependant one which ends up the last part of mk254 post above
 
Atolea mfano wa Nigeria, China na India ambako raia wa huko ni wengi kupindukia na kwamba hiyo ndio sababu wa chumi zao kukua.
Swali fikirishi, hivi umaskini wa Tanzania unasababishwa na uchache wa wananchi? Mbona Tanzania imeizidi Kenya kwa idadi ya watu lakini uchumi wa Kenya umezidi wa Tanzania kwa pengo kubwa ambalo huongezeka kila mwaka.
Mimi nashauri Watanzania muache uvivu, mlime hayo mapori na kuwa bread basket ukanda wote huu, sidhani kama kufyatua watoto zaidi ndio kutabadilisha chochote, mkizingatia leo hii tunahangaika na omba omba wenu waliojaa huku.
-----------------------

'Set your ovaries free’: Tanzania’s president urges women to have more children

John Magufuli claims higher population would 'build the economy' but critics warn it would worsen inequality and poverty

Tanzania’s president has urged his country’s women to “set your ovaries free” and have more children in a bid to boost the economy.



John Magufuli said a higher population could turn the East African nation into a regional powerhouse, but critics warned it would instead worsen inequality and poverty.




Since taking office in 2015, the president has presided over a campaign of industrialisation that has helped buoy economic growth. But Mr Magufuli claimed a higher birth rate would stimulate faster progress.

When you have a big population you build the economy. That’s why China’s economy is so huge,” he said, citing India and Nigeria as other examples of countries that gained from a demographic dividend.



Speaking in his home town of Chato on Tuesday, he added: “I know that those who like to block ovaries will complain about my remarks. Set your ovaries free, let them block theirs.”

Wewe usituletee ujinga kutulinganisha na Kenya.
Mbona Botswana ina watu wachache lkb uchumi wake in terms of citizens welfare ni mkubwa mara dufu kwa big mouthed corrupt Kenya.
 
The population of Europe is not more than Africa. Europe doesn't have 1.2 billion people. Population kubwa ni upuzi kama hamna resources au kama hawajasoma au kama hawana kazi. Wacheni kumention China when you know China has been able to feed its people and has provided jobs to most of them because of industrialization. India has been able to feed its people too and is doing a good job in providing jobs for them. What about Africa? We can't even feed our people let alone educate them or create jobs for them. So tuwache kujicompare na China, hatuko ligi moja. China is rich because of industrialization and not because of population.

Correction,
Lets be specific, It is Kenya that is unable to feed even her people, Not Africa.
 
kuzaa niuamuzi wa mtu binafsi.Hoja Aliyotoa hapo niyake na ina pros and cons wala sio sheria ametunga eti waTz wafuate. JPM Mwenyewe ana watoto wangapi? Tuanzie hapo.
Ila Mnakosa sana kujadili madhara ya low population kama inavyo fanyika nchi za magaribi.
Tuseme tu JPM anaona mbali sana, amesha jua kwamba Tz itakuwa nchi developed in a few years na hataki kuwe na shida za ukosefu wa workforce kama ujerumani.
Haya maono ya JPM wala sio ya kujichocha, ndani ya miaka tatu ya uongozi wake Tz imevuka hadi Middle income, anaenda na spidi ya umeme, na maono yake pia yame vuka viwango vya Middle income
 
Middle income ya wapi...au wamaanisha ya mars
kuzaa niuamuzi wa mtu binafsi.Hoja Aliyotoa hapo niyake na ina pros and cons wala sio sheria ametunga eti waTz wafuate. JPM Mwenyewe ana watoto wangapi? Tuanzie hapo.
Ila Mnakosa sana kujadili madhara ya low population kama inavyo fanyika nchi za magaribi.
Tuseme tu JPM anaona mbali sana, amesha jua kwamba Tz itakuwa nchi developed in a few years na hataki kuwe na shida za ukosefu wa workforce kama ujerumani.
Haya maono ya JPM wala sio ya kujichocha, ndani ya miaka tatu ya uongozi wake Tz imevuka hadi Middle income, anaenda na spidi ya umeme, na maono yake pia yame vuka viwango vya Middle income
 
Kumbe mawe ni sawa tu na waziri wake.Nilisikia waziri wake mmoja akisema Wanyama wa pori waelimishwe wajue vile kuishi na binadamu….
 
Wewe usituletee ujinga kutulinganisha na Kenya.
Mbona Botswana ina watu wachache lkb uchumi wake in terms of citizens welfare ni mkubwa mara dufu kwa big mouthed corrupt Kenya.
Mjinga ni wewe ,familia ya watu wanne wanaopata shlingi elfu arobaini kwa mwezi itaishi vizuri kuliko familia ya watu kumi na wawili wanaopata shilingi elfu themanini kwa mwezi.mjinga wa mwisho wewe rudi shuleni.
 
Mjinga ni wewe ,familia ya watu wanne wanaopata shlingi elfu arobaini kwa mwezi itaishi vizuri kuliko familia ya watu kumi na wawili wanaopata shilingi elfu themanini kwa mwezi.mjinga wa mwisho wewe rudi shuleni.

Duu bora nikuangalie tu nipite zangu. Hivi kuishi vizuri kwa familia inategemea kipato inachoingiza tuu!! Do you know what's Ceteris Paribas?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom