MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,756
- 48,401
Atolea mfano wa Nigeria, China na India ambako raia wa huko ni wengi kupindukia na kwamba hiyo ndio sababu wa chumi zao kukua.
Swali fikirishi, hivi umaskini wa Tanzania unasababishwa na uchache wa wananchi? Mbona Tanzania imeizidi Kenya kwa idadi ya watu lakini uchumi wa Kenya umezidi wa Tanzania kwa pengo kubwa ambalo huongezeka kila mwaka.
Mimi nashauri Watanzania muache uvivu, mlime hayo mapori na kuwa bread basket ukanda wote huu, sidhani kama kufyatua watoto zaidi ndio kutabadilisha chochote, mkizingatia leo hii tunahangaika na omba omba wenu waliojaa huku.
-----------------------
'Set your ovaries free’: Tanzania’s president urges women to have more children
John Magufuli claims higher population would 'build the economy' but critics warn it would worsen inequality and poverty
Tanzania’s president has urged his country’s women to “set your ovaries free” and have more children in a bid to boost the economy.
John Magufuli said a higher population could turn the East African nation into a regional powerhouse, but critics warned it would instead worsen inequality and poverty.
Since taking office in 2015, the president has presided over a campaign of industrialisation that has helped buoy economic growth. But Mr Magufuli claimed a higher birth rate would stimulate faster progress.
When you have a big population you build the economy. That’s why China’s economy is so huge,” he said, citing India and Nigeria as other examples of countries that gained from a demographic dividend.
Speaking in his home town of Chato on Tuesday, he added: “I know that those who like to block ovaries will complain about my remarks. Set your ovaries free, let them block theirs.”
Swali fikirishi, hivi umaskini wa Tanzania unasababishwa na uchache wa wananchi? Mbona Tanzania imeizidi Kenya kwa idadi ya watu lakini uchumi wa Kenya umezidi wa Tanzania kwa pengo kubwa ambalo huongezeka kila mwaka.
Mimi nashauri Watanzania muache uvivu, mlime hayo mapori na kuwa bread basket ukanda wote huu, sidhani kama kufyatua watoto zaidi ndio kutabadilisha chochote, mkizingatia leo hii tunahangaika na omba omba wenu waliojaa huku.
-----------------------
'Set your ovaries free’: Tanzania’s president urges women to have more children
John Magufuli claims higher population would 'build the economy' but critics warn it would worsen inequality and poverty
Tanzania’s president has urged his country’s women to “set your ovaries free” and have more children in a bid to boost the economy.
John Magufuli said a higher population could turn the East African nation into a regional powerhouse, but critics warned it would instead worsen inequality and poverty.
Since taking office in 2015, the president has presided over a campaign of industrialisation that has helped buoy economic growth. But Mr Magufuli claimed a higher birth rate would stimulate faster progress.
When you have a big population you build the economy. That’s why China’s economy is so huge,” he said, citing India and Nigeria as other examples of countries that gained from a demographic dividend.
Speaking in his home town of Chato on Tuesday, he added: “I know that those who like to block ovaries will complain about my remarks. Set your ovaries free, let them block theirs.”
Tanzania president urges women to 'set your ovaries free' and have more children
John Magufuli claims higher population would 'build the economy' but critics warn it would worsen inequality and poverty
www.independent.co.uk