kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 7,629
- 7,395
Mkuu fanya utafiti kidogo tu utapata majibu ya hoja yako.Karne hii bado anawaza umeme wa maji..dah kweli ujinga kitu kibaya sana ..anaenda ku invest hela nyingi hapo hakuna la maana..si walisema gesi inakwenda kumaliza tatizo la umeme au
Hii ni link ya mradi mkubwa wa karibuni tu ambao mataifa yaliyoendelea yamewekeza pesa zao.
Three Gorges Dam - Wikipedia