Lubebenamawe
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 1,952
- 2,194
Heeeeee kumbe umeme unaozalishwa Tanzania wrote unaweza kuingia kwenye flash yangu ya 4 GB na ikabaki space kubwa tu?!!!Bado tupo kwenye megawat badala ya kufikiria gigawat
Heeeeee kumbe umeme unaozalishwa Tanzania wrote unaweza kuingia kwenye flash yangu ya 4 GB na ikabaki space kubwa tu?!!!Bado tupo kwenye megawat badala ya kufikiria gigawat
Kuna wananchi mnashangaza kutopenda maendeleo ya nchi yetu, kwa kuwa negative kwa kila kinachofanywa bila ya kuwa na subira!
Mkikaa kimya mtakuwaje na kuyafikiria humo humo kwenye vichwa vyenu!?
vyovyote tutakavyozalisha kumbuka kwamba umeme wa maji kama maji yatakuwepo ya kutosha, ndio umeme wa bei rahisi zaidi kuzalisha kuliko huo wa gas. na mto rufiji unamwaga tu maji baharini hata hatuyatumii. kama akifanikisha huo mradi nitampongeza sana, maana kwa sasa sijaona alichofanya yeye binafsi (isipokuwa vile alivyovianzisha jk na yeye anavimalizia tu hivyo credit to jk), zaidi ya zile campus za udsm pekee.Megawat 2100?..!!
Kwani sasa tunazalisha WATT ngapi?
Tanzania inazalisha megawatt 1345 kwa sasa
Halafu tuzipeleke wapi??? Kw viwanda gani??? Vya meli au ndege??Bado tupo kwenye megawat badala ya kufikiria gigawat
Karne hii bado anawaza umeme wa maji..dah kweli ujinga kitu kibaya sana ..anaenda ku invest hela nyingi hapo hakuna la maana..si walisema gesi inakwenda kumaliza tatizo la umeme au
safari inaanza na hatua mama...Stiegler Gorge halafu inafuata miradi mingine kuna miradi ya umeme wa joto ardhi ipo kwenye michakato piaKama sera ya viwanda itatekelezwa ipasavyo, bado umeme wa Stiegler hauwezi kutosheleza mahitaji miaka 10 baada ya kukamilika. Mfano, vikijengwa viwanda vipya vya saruji hata 5, huo umeme unaweza usitoshe. South Africa ina idadi sawa ya watu na sisi, lakini wao wanazalisha umeme ambao ni mara 25 ya ule tunaozalisha na bado wanakuwa na mgao wa umeme.
Kwahiyo programu za REA na Viwanda, zitaumeza huo umeme hata kabla haujakamilishwa.
Sina hakika kama unafahamu kuwa huo ndo umeme wa bei rahisi zaidi???Karne hii bado anawaza umeme wa maji..dah kweli ujinga kitu kibaya sana ..anaenda ku invest hela nyingi hapo hakuna la maana..si walisema gesi inakwenda kumaliza tatizo la umeme au
Kwa Tanzania yetu, ni kawaida kwa mtu kutoamini michakato. Hata Stiegler ilikuwa kwenye michakato kwa miongo mingi tu. Hata kubinafsishwa kwa sekta ya umeme kupo kwenye mchakato.safari inaanza na hatua mama...Stiegler Gorge halafu inafuata miradi mingine kuna miradi ya umeme wa joto ardhi ipo kwenye michakato pia
Ethiopia vip atununui tena
Tuko kilobaitiBado tupo kwenye megawat badala ya kufikiria gigawat
GB sio sawa na MW au GW ni vizio viwili tafauti.Heeeeee kumbe umeme unaozalishwa Tanzania wrote unaweza kuingia kwenye flash yangu ya 4 GB na ikabaki space kubwa tu?!!!