Gamaha
JF-Expert Member
- Jul 17, 2008
- 3,813
- 4,860
Pole kwamba hujui kuwa kiingereza pia ni lugha ya Taifa letu.Rais wako akienda China, Germany je mwenyeji wake atatumia kingereza? Je atatumia Kiswahili? The answer is absolutely NO.China kichina. Germany kijerumani. Watz tuache kujidhalilisha kwa kutukuza lugha za kigeni na kuidharau lugha ya taifa letu. Kiswahili ndo lugha ya taifa. Hivyo Raisi wa taifa hili ana haki na wajibu wa kutumia LUGHA YA TAIFA YA TAIFA HILI KWENYE MATUKIO YOTE YA KITAIFA NA KIMATAIFA. i.e KISWAHILI ONLY.