Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Wakuu nimesikitishwa sana na kitendo cha Rais wetu mh. Dr. Pombe kushindwa kutumia lugha iliyozoeleka ya english tunapowakaribisha viongozi wa dunia.
Hii inawanyima mabalozi mbalimbali waliohudhuria mkutano kushindwa kwenda sambamba na mzee wa mwendo kasi kuhusu anachozungumzia.
Ikumbukwe Kikwete alipiga kizungu alipomkaribisha Obama, Mkapa alipiga kizungu akipomkaribisha Clinton na Bush.
Sasa huu utaratibu wa Dr. Pombe kutumia kiswahili kwenye hotuba za kimataifa umeanza lini?
Watanzania tulikemee hili kwa nguvu zote..
Ikulu yetu ilinde misingi yake
Hii inawanyima mabalozi mbalimbali waliohudhuria mkutano kushindwa kwenda sambamba na mzee wa mwendo kasi kuhusu anachozungumzia.
Ikumbukwe Kikwete alipiga kizungu alipomkaribisha Obama, Mkapa alipiga kizungu akipomkaribisha Clinton na Bush.
Sasa huu utaratibu wa Dr. Pombe kutumia kiswahili kwenye hotuba za kimataifa umeanza lini?
Watanzania tulikemee hili kwa nguvu zote..
Ikulu yetu ilinde misingi yake