kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Dr.Pombe Magufuli ni Waziri wa Ujenzi na bandari haiko chini ya Wizara ya Ujenzi hivyo Dr.Pombe Magufuli hahusiki na chochote kinachoendela bandarini na hana mamlaka (bado mpaka baada ya 25/10) ya kuingilia Wizara nyingine hivyo ningekushauri utafute majibu ktk kwa Wizara husika, si ajabu fisadi Lowasa na Genge lake pia wanaweza kujua sina uhakika lkn jaribu kuwauliza!
Waigizaji wanatafuta shutuma za magufuri, wanaacha za fisadi papa