Wa ewura alipo anapiga dua zote unazozijua weweMhhh utumbuaji huu ila wa ewura naona kapona
Kosa ni kwanini amependekeze kupandisha umeme??Hivi kosa ni nini?
anafuata mkurugenzi wa ewura kapandisha bei ya umeme
Hilo ni kosa? Huyu mtu na maaskofu wake watahukumiwa!Kosa ni kwanini amependekeze kupandisha umeme??
Ila Msigwa atakuwa keshaiva kwenye kuandaa barua za kutengua angeanza kumjenga na kwenye maeneo mengineDaah,this is too much
Sasa hawa wahadhiri mbona wanaisha pale UDSM
Umeme kupandishwaHivi kosa ni nini?