Ooyooo kuna ndoto za usingizini na ndoto za mchana wa jua kali na hii ni ya mchana wa jua kali na tutaweza hii ndoto ya mchana lakini ya usingizini katu na abadan hatuiwezi hata tuwe na uzalindo gani maana hiyo ya kibiti tu nusu karine toka awamu ya kwanza hadi laana ya leo tena kamasi inatoka itakua hii ya juu na hiyo mitaro ya mavi inatushinda hadi waje machina na hapo hapo tunawazingua kwa ten pasenti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.