Magufuli atatufikisha huku kweli kwenye hizi flying over??

Eiyer

JF-Expert Member
Apr 17, 2011
28,258
20,702
303584,xcitefun-shanghai-road.jpg


nanpu-bridge-and-spiral-road-shanghai-china-3.jpg


shanghai-elevated-road-junction-panorama-dusk-china-33190022.jpg


commute.184.1.650.jpg


Gloucester_Road%2C_Hong_Kong_1.jpg



Busy-Gloucester-Road-Hong-Kong.jpg



I-80_Eastshore_Fwy.jpg


losangelesfreeways.jpg


los-angeles-road-systems.jpg


250px-I-287_I-87.jpg


commute.184.1.650.jpg


an+amzing+fly-over+road+in+atlanta+and+norway.+Amazing+one.jpg


funny-roads-7w.jpg


A2-A76%20fly-over%20GROOT_tcm174-277178.jpg


93406053.jpg


flyover_1.jpg


Hii serikali ya CCM itatufikisha huku kweli na mafisadi wote hawa??
 
Jamani kuna miji imetulia aisee daaaaah...tutaishia kuota tu hatufiki ng'o..labda niwe rais
 
Ooyooo kuna ndoto za usingizini na ndoto za mchana wa jua kali na hii ni ya mchana wa jua kali na tutaweza hii ndoto ya mchana lakini ya usingizini katu na abadan hatuiwezi hata tuwe na uzalindo gani maana hiyo ya kibiti tu nusu karine toka awamu ya kwanza hadi laana ya leo tena kamasi inatoka itakua hii ya juu na hiyo mitaro ya mavi inatushinda hadi waje machina na hapo hapo tunawazingua kwa ten pasenti
 
tukichukuliwa Wadanganyika sote tupelekwe kwenye mjii huo na hao raia wa hapo waletwe TZ haitochukuwa hata miaka mitani tutaanza kukimbilia TZ
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom