Magufuli ashindana na Waziri Mkuu wa India kupiga ngoma Ikulu. Ni mbinu mpya ya kukaribisha wageni?

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
Rais John Pombe Magufuli amekuja na utaratibu wake wa ku relax na wageni ikulu baada ya shughuli za kisiasa zilizomleta ambapo yeye na mgeni wake hupigiana ngoma, hayo yameshuhudiwa jana baada ya waziri mkuu wa India kuja nchini ambapo rais Magufuli baada maongezi kilichofanyika ikulu ilikuwa ni kupigiana ngoma
 
Rais John Pombe Magufuli amekuja na utaratibu wake wa ku relax na wageni ikulu baada ya shughuli za kisiasa zilizomleta ambapo yeye na mgeni wake hupigiana ngoma, hayo yameshuhudiwa jana baada ya waziri mkuu wa India kuja nchini ambapo rais Magufuli baada maongezi kilichofanyika ikulu ilikuwa ni kupigiana ngoma



Watu ma low income utawajua tu, saa zote kukaa na kufikiria mambo ya kipumbavu yasiyo na mbele wa nyuma, ndiyo maana mnashindwa kupiga hatua sehemu zenu za kazi kwa maana kichwani hamna kitu!
 
Watu ma low income utawajua tu, saa zote kukaa na kufikiria mambo ya kipumbavu yasiyo na mbele wa nyuma, ndiyo maana mnashindwa kupiga hatua sehemu zenu za kazi kwa maana kichwani hamna kitu!
Taifa lina miaka 54 sasa hivi bado tunachangishwa kununulia madawati!
 
Rais John Pombe Magufuli amekuja na utaratibu wake wa ku relax na wageni ikulu baada ya shughuli za kisiasa zilizomleta ambapo yeye na mgeni wake hupigiana ngoma, hayo yameshuhudiwa jana baada ya waziri mkuu wa India kuja nchini ambapo rais Magufuli baada maongezi kilichofanyika ikulu ilikuwa ni kupigiana ngoma


Naomba kujua una Elimu gani na umesoma Chuo Kikuu kipi ili kusudi niweze kuainisha vizuri " utumbo " huu uliotuwekea.
 
Wewe una Elimu gani zaidi ya kuwa vuvuzela la lumumba?

Yangu ni ya Standard Seven tu Mkuu ya 1992 pale O'bey Primary chini ya Marehemu Mama Ng'ambi na baada ya hapo sikusoma mpaka leo lakini naamini kwa uwezo wangu mkubwa wa akili, upeo, maarifa na fikra nawatimulia vumbi wana ukoo wako wote na Wewe ukiwemo bila kusahau na Wanachama wa Chama chako chote cha " nyumbu " unachokishabikia.
 
Yangu ni ya Standard Seven tu Mkuu ya 1992 pale O'bey Primary chini ya Marehemu Mama Ng'ambi na baada ya hapo sikusoma mpaka leo lakini naamini kwa uwezo wangu mkubwa wa akili, upeo, maarifa na fikra nawatimulia vumbi wana ukoo wako wote na Wewe ukiwemo bila kusahau na Wanachama wa Chama chako chote cha " nyumbu " unachokishabikia.
Akili za mwendo kasi hizo
 
tuanzishe vikundi vya utamaduni ikulu watu wawe wanacheza siyo kupiga ngoma tuu kuna watu wanataka kucheza daa tumepata raisi mzuri tuuenzi utamaduni wetu bana maana wazungu wanasema ndicho(afrika) tulichomuomba mungu wakati wengine waliomba akili sisi tuliomba sanaa.
 
Back
Top Bottom