Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,055
- 10,339
Dah... mbona mnaturusharusha wazeya....mlianza kutabiri wiki ya pili ya March...mkaja kusema wiki ya kwanza ya April tutakiona...mkaja tena May tutaanza kuokotana mabarabarani...Sasa tena leo mnasema mwezi wa 7Corona bado ndio inaongezeka kila kukicha Africa kwahiyo ni muhimu kuchukua hatua kali kwani madhara yake yanaweza kuwa makubwa siku zijazo. Matokeo ya maamuzi ya rais tutayaona sio sasa bali baadaye kuanzia mwezi wa saba kwa sasa kila mwenye akili nzuri achukue tahadhari zote.
Kuweni siriaz banaaa
Sent using Beretta ARX 160