Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,270
Siasa zimedhoofisha afya yake, afya ndiyo uzima. Mzee amefanya maamuzi ya busara.Balozi kitambo alishafanya uamuzi wa kumpuzika na ndio maana hata hagombei
Siasa zimedhoofisha afya yake, afya ndiyo uzima. Mzee amefanya maamuzi ya busara.Balozi kitambo alishafanya uamuzi wa kumpuzika na ndio maana hata hagombei
Magu ni mnafiki ameongea hayo kujipa sifa yeye.Magu hajitambui tu.
Mara hii Sefu iddi hajagombea uwakilisha na ametangaza kuoumzika.
Sasa magu kama kawaida kuropoka
Kaa mbali maana yake huyo balozi asiwashwewashwe au hata kushauri. Hiyo ni warning kwa balozi au sivyo atakutana na chuma cha uncle. Wanasema it is a friendly warning vinginevyo atakutana na friendly fire.Balozi Ali Idd alishatangaza zamani kuwa anaacha siasa wewe unakuja na ngonjera hapa ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Umakamu wa pili wa Rais unagombea wapi?Balozi kitambo alishafanya uamuzi wa kumpuzika na ndio maana hata hagombei
Mkuu Statement zako hazina logic....Mkuu Daudi Mchambuzi , naijua CCM nje ndani, mimi ni wale wana CCM wa Nyerere type. Wajumbe ni watu wa modern CCM, sifa za mtu kupata kura za kutosha ni mbinu na sio uwezo.
Kati ya sisi wagombea 176 tulio tangaza nia Kawe, miongoni mwetu kuna some very fine men, wana uwezo mkubwa sana wa uongozi lakini kufuatia wajumbe kuwa sio watu, hivyo watu wazuri tukaishia kupata kura moja na kura 0, halafu wenzetu watupu lakini wanye mbinu, wakalamba kura za kutosha!.
Mbona mangala ni makamu mwenyekitiwa Ccm tangu miongo hadi mkataka kumuua kwa sumu?Miaka 20 anagombea urais tu
Bepari Kubw Ranchi heka 25,000 hakuna Afrika mashariki ndani ya miaka 2 akiwa utawalani aibuuuuuuuKama ni kiboko ya mafisadi imekuwaje ajenge uwanja wa ndege kijijini kwake tena kwa kampuni ya ndugu yake???
Magu hajitambui tu.
Mara hii Sefu iddi hajagombea uwakilisha na ametangaza kuoumzika.
Sasa magu kama kawaida kuropoka
Mimi nawaza kweli Magu anaweza kuwa chini ya MTU ? Yaani awe rai kama Kikwete? Maana amezoea pesa zote na watu wote kuwa chini yake Nawaza atapata tabu sanaKuna watu hawatakaa kupumzika. Wana fikiri ndio wenye Hati miliki ya Tanzania. Bila kuambiwa huwa wataleta shida na ujuaji
kawaida yake kutokwa na povu.Sasa magu kama kawaida kuropoka
Wakumshauri kukaa pembeni ni The Slave Master, and Chief Puppet Sultan Seif Sharif Hamad
Previously known as haragwe
Sasa huyo ni Bomu la petrol maana kauli zake zinaweza kabisa kuwasha machafuko ya nchi hii, anakera anakereketa anaudhi, anauchochezi fulani hivi!!Mwengine ni Polepole ukimaliza uchaguzi anatupwa nje
Hatatupwa kwasababu ni MsukumaMwengine ni Polepole ukimaliza uchaguzi anatupwa nje
😀 mimi sio ccm na wala si mpenda siasa kihivyo mkuu,hata kama yuko kwenye game kwa miaka hiyo inabidi apumzike kwa kweliMbona mangala ni makamu mwenyekitiwa Ccm tangu miongo hadi mkataka kumuua kwa sumu?
Amwambia pumzika na kaa mbali na Huseni Mwinyi
Amwambia pumzika na kaa mbali na Huseni Mwinyi