magessa78
JF-Expert Member
- Sep 28, 2009
- 270
- 31
Pamoja na John Obhwarwa Magufuli kuonekana kama waziri pekee wa ccm mchapakazi,lakini kuna kitu kinachomfanya uchapakazi wake uonekane sio lolote.kitu hicho ni dharau.huyu bwana ana dharau ya hali ya juu.sijui kwa kuwa amekuwa waziri kwa muda mrefu sana takribani miaka 17 au sijui kwa kuwa tunamsifu sana ndo maana anakuwa hivi sipati jibu.juzi wakati naangalia TB-CCM1 wakati huyu bwana akitembelea barabara zinazojengwa dar alikaripia vikali mamlaka zingine za serikali zinazokwamisha ujenzi huo zikiwemo tanesco na dawasco.akamwagiza mfugale afuatilie mamlaka hizo na kama wakisuasua ataonana na mawaziri wa mashirika hayo..na kama hiyo haitoshi akasema kama mawaziri hao pia watasuasua ataenda kwa JK moja kwa moja kuwashtakia...lol!!niliduwaa!!
haya ni mambo ya kuongelea hukoo kwenye vikao vyao vya ndani (inter-ministrial meetings) sio kwenye vyombo vya habari bwana magufuli.sasa kama kuna waziri mhusika alikuwa anaangalia taarifa ile ya habari unadhani atakupa ushirikiano?atakukwepa tu.mimi nadhani this is too much for magufuli.anaropoka tu hadharani.hana busara hata kidogo.pamoja na uchapa kazi wake lakini bila busara ktk kutekeleza majukumu yake ni kazi bure. ndio kuna mambo ya sheria zaidi,lakini kuna mengine hayahusu sheria.atulize jazba.achape kazi.lakini pia kuna kitu najiuliza,kuugua kwa huyu bwana malaria ya mara kwa mara ndo yamemfanya hivi?yamechukua sehemu ya ufahamu wake?mi nadhani akili zake zimezidi sana kiasi kwamba anaonekana kuchanganyikiwa...
Apumzike sasa.aachie wengine waongoze.pamoja na uchapa kazi wake lakini hafai kuwa kiongozi.
haya ni mambo ya kuongelea hukoo kwenye vikao vyao vya ndani (inter-ministrial meetings) sio kwenye vyombo vya habari bwana magufuli.sasa kama kuna waziri mhusika alikuwa anaangalia taarifa ile ya habari unadhani atakupa ushirikiano?atakukwepa tu.mimi nadhani this is too much for magufuli.anaropoka tu hadharani.hana busara hata kidogo.pamoja na uchapa kazi wake lakini bila busara ktk kutekeleza majukumu yake ni kazi bure. ndio kuna mambo ya sheria zaidi,lakini kuna mengine hayahusu sheria.atulize jazba.achape kazi.lakini pia kuna kitu najiuliza,kuugua kwa huyu bwana malaria ya mara kwa mara ndo yamemfanya hivi?yamechukua sehemu ya ufahamu wake?mi nadhani akili zake zimezidi sana kiasi kwamba anaonekana kuchanganyikiwa...
Apumzike sasa.aachie wengine waongoze.pamoja na uchapa kazi wake lakini hafai kuwa kiongozi.