Magufuli amefuta usemi wa 'Tatizo ni Mfumo'

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,034
28,201
Wasalaam!

Kuna msemo maarufu hapa JF wa CCM ni ile ile wakimaanisha kuwa mfumo wa serikali na utendaji wake utabaki kuwa ule ule despite kwamba kuna Rais mpya aliyeingia madarakani tena kwa sera ambazo mwanzoni wapinzani walizisema kuwa ni sera zao.

Wengi wa wadau hasa hasa wa upinzani waliamini na kutuaminisha kuwa Magufuli ni sehemu ya mfumo uliokuwepo na angeendelea kuuabudu na kuutumia mfumo ule ule.

Hivi karibuni tumeshuhudua utumbuaji majipu ambao kwa sasa umeenda hatua ya pili na kuitwa uteuzi.

Tumeshuhudia mabadiliko makubwa haswa katika kutemwa kwa watendaji au waliokuwa na vyeo kuachwa na uteuliwa wapya kwa wingi wa zaidi ya asilimia 70.

Kwa maoni yangu ni wazi kuwa kile kilichoitwa mfumo au CCM ile ile kimemalizwa rasmi kwa utumbuaji uliokithiri na uteuzi mpya uliofanyika.

Swali langu linarudi kwetu wanaJF je bado tunahisi tatizo litakuwa ni mfumo au CCM ni ile ile? Au sasa msimamo wetu utabadilika na kuanzisha hoja mpya?
 
NGOJA NIKUPE MANENO KATIKA ULE WIMBO WAO!
CCM ni Ile ile ooh ni ileileee
wagombea ni walewale ooh ni walewalee!
namwendo ni ule ULE ooh ni ule ule!
MATUMAINI YANGU MMEPATA MAJIBU YENU!
Nipe idadi ya wagombea ubunge wa CCM waliokosa na sasa wamekumbukwa katika vyeo vilivyotajwa ...nipe namba yao against number ya walioteuliwa...nitakuelewa sana!
 
Wasalaam!

Kuna msemo maarufu hapa JF wa CCM ni ile ile wakimaanisha kuwa mfumo wa serikali na utendaji wake utabaki kuwa ule ule despite kwamba kuna Rais mpya aliyeingia madarakani tena kwa sera ambazo mwanzoni wapinzani walizisema kuwa ni sera zao.

Wengi wa wadau hasa hasa wa upinzani waliamini na kutuaminisha kuwa Magufuli ni sehemu ya mfumo uliokuwepo na angeendelea kuuabudu na kuutumia mfumo ule ule.

Hivi karibuni tumeshuhudua utumbuaji majipu ambao kwa sasa umeenda hatua ya pili na kuitwa uteuzi.

Tumeshuhudia mabadiliko makubwa haswa katika kutemwa kwa watendaji au waliokuwa na vyeo kuachwa na uteuliwa wapya kwa wingi wa zaidi ya asilimia 70.

Kwa maoni yangu ni wazi kuwa kile kilichoitwa mfumo au CCM ile ile kimemalizwa rasmi kwa utumbuaji uliokithiri na uteuzi mpya uliofanyika.

Swali langu linarudi kwetu wanaJF je badotunahisi tatizo litakuwa ni mfumo au CCM ni ile ile? Au sasa msimamo wetu utabadilika na kuanzisha hoja mpya?
Yes, bado ukweli utabaki hivyo. JPM amefumua timu ya JK, anajenga yake. Na utaratibu ni ule ule tu, wala hakuna kilichobadilika. Hata uteuzi umefuata misingi ile ile, ni sura pekee ndizo zimebadilishwa.
 
Kwa uwezo wako wa kuelewa ni kweli amefuta ila kwa watu wenye akili zao,tatizo ni mfumo,tatizo LA ccm na watu wake wengi mnaangalia Leo,m naangalia urefu wa pua,you can't think even 2 years ahead,yaani wengi wenu ni ile aina ya watu ambao kila wanapotaka kula lazima waende dukani ama gengeni
Wasalaam!

Kuna msemo maarufu hapa JF wa CCM ni ile ile wakimaanisha kuwa mfumo wa serikali na utendaji wake utabaki kuwa ule ule despite kwamba kuna Rais mpya aliyeingia madarakani tena kwa sera ambazo mwanzoni wapinzani walizisema kuwa ni sera zao.

Wengi wa wadau hasa hasa wa upinzani waliamini na kutuaminisha kuwa Magufuli ni sehemu ya mfumo uliokuwepo na angeendelea kuuabudu na kuutumia mfumo ule ule.

Hivi karibuni tumeshuhudua utumbuaji majipu ambao kwa sasa umeenda hatua ya pili na kuitwa uteuzi.

Tumeshuhudia mabadiliko makubwa haswa katika kutemwa kwa watendaji au waliokuwa na vyeo kuachwa na uteuliwa wapya kwa wingi wa zaidi ya asilimia 70.

Kwa maoni yangu ni wazi kuwa kile kilichoitwa mfumo au CCM ile ile kimemalizwa rasmi kwa utumbuaji uliokithiri na uteuzi mpya uliofanyika.

Swali langu linarudi kwetu wanaJF je badotunahisi tatizo litakuwa ni mfumo au CCM ni ile ile? Au sasa msimamo wetu utabadilika na kuanzisha hoja mpya?
 
Kwa uwezo wako wa kuelewa ni kweli amefuta ila kwa watu wenye akili zao,tatizo ni mfumo,tatizo LA ccm na watu wake wengi m naangalia Leo,m naangalia urefu wa pia,you can't even 2 years ahead
Thibitisha mawazo yako kwa data mkuu..kumbuka kuwa kwa watanzania waliopo wengi wao ni wanachama wa CCM toka enzi na enzi ingawa hawakuwa ni active politicians!
 
Nipe idadi ya wagombea ubunge wa CCM waliokosa na sasa wamekumbukwa katika vyeo vilivyotajwa ...nipe namba yao against number ya walioteuliwa...nitakuelewa sana!
Natoa mfano tu. Kwenye orodha ya wakurugenzi walioteuliwa jana nimebahatika kufahamu WATATU TU! Na hao watatu wote waligombea nafasi ya kuwakilisha chama kwenye uchaguzi uliopita nafasi ya ubunge mwaka jana. Kumbuka mimi kwenye orodha nzima ya watu karibia 200, nafahamu watatu tu na wote wanakidhi sifa hizo, kwangu hiyo ni asilimia 100. Yawezekana wengine nao wanafahamu idadi tofauti na kwa sifa tofauti.

Lakini pia hatupaswi kulaumu maana hiyo ilikuwa moja ya ahadi zake wakati wa kampeni kwa wale ambao hawakuteuliwa na chama kugombea...au na hii ahadi haukuisikia mheshimiwa sana jingalao?
 
Natoa mfano tu. Kwenye orodha ya wakurugenzi walioteuliwa jana nimebahatika kufahamu WATATU TU! Na hao watatu wote waligombea nafasi ya kuwakilisha chama kwenye uchaguzi uliopita nafasi ya ubunge mwaka jana. Kumbuka mimi kwenye orodha nzima ya watu karibia 200, nafahamu watatu tu na wote wanakidhi sifa hizo, kwangu hiyo ni asilimia 100. Yawezekana wengine nao wanafahamu idadi tofauti na kwa sifa tofauti.

Lakini pia hatupaswi kulaumu maana hiyo ilikuwa moja ya ahadi zake wakati wa kampeni kwa wale ambao hawakuteuliwa na chama kugombea...au na hii ahadi haukuisikia mheshimiwa sana jingalao?
Hiyo ahadi sikuisikia ...!
Yaani umetumia mifano ya watu watatu kufikia hitimisho lako???kwa nini usisubiri au kuchunguza orodha nzima ya uteuzi kufikia hitimisho lako?
 
Hiyo ahadi sikuisikia ...!
Yaani umetumia mifano ya watu watatu kufikia hitimisho lako???kwa nini usisubiri au kuchunguza orodha nzima ya uteuzi kufikia hitimisho lako?
Soma uelewe japo ID yako inatia shaka..naamini haufanani nayo. Nimesema kwenye orodha nzima nafahamu watatu, na wote wanakidhi vigezo...kwangu ni 100% Yes, 0% No. Nina hakika watu wengine wakija na takwimu, zitafanana au kukaribia huko huko. Huo ukweli haupingiki. Na kuhusu hiyo ahadi, MIMI niliisikia, na nina hakika WENGINE WENGI hapa JF waliisikia pia.
 
Huyu mh raisi mpaka sasa hili swala la uteuzi wa ma-das na ma-ded ni jambo la NNE la kunishangaza na LA pili kupigwa butwaa baada ya lile LA kuita wataalamu kutoka Rwanda . nimekatishwa tamaa Sana na mshikaji kiasi cha kwamba siamini tena matamshi ya hii serikali mpaka nione nini kitatokea.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom