Magufuli amefuta usemi wa 'Tatizo ni Mfumo'

Nipe idadi ya wagombea ubunge wa CCM waliokosa na sasa wamekumbukwa katika vyeo vilivyotajwa ...nipe namba yao against number ya walioteuliwa...nitakuelewa sana!

Kuna tatizo hapa nalo ni kwamba kwenye uteuzi wa ma DED kuna kukurupuka kumefanyika,nako ni hivi sijaona mtu anajaribu kuonja sumu,nafasi ya UDED ni uzoefu wa utendaji katika serikali za mitaa,na ai taaluma pekee.kwa takwimu mwaka jana CAG aliaema halmashauri ,majiji na manispaa ndo kulikuwa na tanuru la utafunaji pesa na thamani haikuonekana,je leo unateua mtu ambaye haijui kabisa serikali ya mtaa atafanya kazi vipi kisa ni mhandisi,hapo tuseme tunaongeza ufanisi au nia ndo kuua serikali ya mitaa.Aruhusu mikutano ya vyama vya siasa aone udhaifu huu
 
Kama una mchukuwa kada wa chama unampa kaz ya uDAS, wakati sii mtumishi wa Umma. Tatizo ni mfumo
 
Wasalaam!

Kuna msemo maarufu hapa JF wa CCM ni ile ile wakimaanisha kuwa mfumo wa serikali na utendaji wake utabaki kuwa ule ule despite kwamba kuna Rais mpya aliyeingia madarakani tena kwa sera ambazo mwanzoni wapinzani walizisema kuwa ni sera zao.

Wengi wa wadau hasa hasa wa upinzani waliamini na kutuaminisha kuwa Magufuli ni sehemu ya mfumo uliokuwepo na angeendelea kuuabudu na kuutumia mfumo ule ule.

Hivi karibuni tumeshuhudua utumbuaji majipu ambao kwa sasa umeenda hatua ya pili na kuitwa uteuzi.

Tumeshuhudia mabadiliko makubwa haswa katika kutemwa kwa watendaji au waliokuwa na vyeo kuachwa na uteuliwa wapya kwa wingi wa zaidi ya asilimia 70.

Kwa maoni yangu ni wazi kuwa kile kilichoitwa mfumo au CCM ile ile kimemalizwa rasmi kwa utumbuaji uliokithiri na uteuzi mpya uliofanyika.

Swali langu linarudi kwetu wanaJF je bado tunahisi tatizo litakuwa ni mfumo au CCM ni ile ile? Au sasa msimamo wetu utabadilika na kuanzisha hoja mpya?
Jingalao nasikitika kukutaarifu kuwa sasa "tatizo mfuno" ndiyo umetawazwa na kusimikwa rasmi Tanzania na Tanzania tuitakayo ndiyo imeota mbawa kiujumla. Ninaamini unazo za kutosha zaidi ya za mbayuwai rudi japo kidogo kwenye " Principles and Theories of collective governance in the democratic governments models........Utaona Tanzania ndiyo imeaga na kuagwa rasmi kwenye mfumo wezeshi wa maendeleo na ukuaji katika nyanja zote katika nchi.
 
Ulishaambiwa ndani ya ccm hata aje nani hata Obama hapadiliki
Mfano mkuu sakata la Lugumi &associated, selective prosecution (kesi ya kina kitilya)
 
Wasalaam!

Kuna msemo maarufu hapa JF wa CCM ni ile ile wakimaanisha kuwa mfumo wa serikali na utendaji wake utabaki kuwa ule ule despite kwamba kuna Rais mpya aliyeingia madarakani tena kwa sera ambazo mwanzoni wapinzani walizisema kuwa ni sera zao.

Wengi wa wadau hasa hasa wa upinzani waliamini na kutuaminisha kuwa Magufuli ni sehemu ya mfumo uliokuwepo na angeendelea kuuabudu na kuutumia mfumo ule ule.

Hivi karibuni tumeshuhudua utumbuaji majipu ambao kwa sasa umeenda hatua ya pili na kuitwa uteuzi.

Tumeshuhudia mabadiliko makubwa haswa katika kutemwa kwa watendaji au waliokuwa na vyeo kuachwa na uteuliwa wapya kwa wingi wa zaidi ya asilimia 70.

Kwa maoni yangu ni wazi kuwa kile kilichoitwa mfumo au CCM ile ile kimemalizwa rasmi kwa utumbuaji uliokithiri na uteuzi mpya uliofanyika.

Swali langu linarudi kwetu wanaJF je bado tunahisi tatizo litakuwa ni mfumo au CCM ni ile ile? Au sasa msimamo wetu utabadilika na kuanzisha hoja mpya?
Hahahahaha kweli asiyejua maana haambiwa.........kwa hiyo hayo ndo mawazo yako unataka kutuaminisha poleee kweli fumbo mfumbie mjinga....
 
Naona sasa hivi anaongelewa Magufuli tu as If tatizo halikuwa mfumo kwi kwi kwi!
 
jingalao? Kwani kwako wewe mfumo au system ni nin?wewe ungekuwa ndugu yangu ningekuwa nimeshakuwekea sumu kwenye chakula maana inaonekana huna faida kabisa
Ila baada ya mimi kufa ungeanza kunikumbuka....kwi kwi kwo
 
Utumbuaji ni sehemu ndogo tu ktk dhana pana ya mfumo.
Mtumo upo tena mkubwa. Kuja kwake ni kubadili chupa huku ladha ya mvinyo ikibakia ile ile!
Kama mambo ni yale yale kinacholalamikiwa ni nini sasa?
 
Hakuna mwanaCCM ataenenda kinyume na CCM ileile, wamejengwa kwenye Omani moja, utendaji wao ni Mmoja, JK aliingia kwa kasi Kama yeye, akaja kushindwa vibaya.

Wewe mleta mada inaonekana ni Ileile
 
Nipe idadi ya wagombea ubunge wa CCM waliokosa na sasa wamekumbukwa katika vyeo vilivyotajwa ...nipe namba yao against number ya walioteuliwa...nitakuelewa sana!
changwa = ded masasi
sudi mpili = ded moro vijijini
musa mgata= kyela ded
mapunda = ded mafia
majina ni mengi kutaja machache
 
Hakuna mwanaCCM ataenenda kinyume na CCM ileile, wamejengwa kwenye Omani moja, utendaji wao ni Mmoja, JK aliingia kwa kasi Kama yeye, akaja kushindwa vibaya.

Wewe mleta mada inaonekana ni Ileile
Magufuli sio JK
 
Back
Top Bottom