Amesema Mheshimiwa Magufuli. Napinga kifo kwa nguvu zote kabisa. Mungu baba sikia maombi yetuNimegundua Mod kwa nini hawaufuti huu uzi wa uzushi...Ni kwa sababu haujafafanua ni Magufuli yupi.Kwa hiyo Hii ni Ze Comedi
Amesema Mheshimiwa Magufuli. Napinga kifo kwa nguvu zote kabisa. Mungu baba sikia maombi yetuNimegundua Mod kwa nini hawaufuti huu uzi wa uzushi...Ni kwa sababu haujafafanua ni Magufuli yupi.Kwa hiyo Hii ni Ze Comedi
Sawasawa mkuuUzi usifutwe, kesho ubadilishwe rangi
Niache kwanza, moyo wangu ni muzito sanaHabari yako Shift
Ni kwa sababu aliyekufa Sio John P M bali ni Koku MagufuliMbona uzi haujafutwa... Ni kweli au
Tumeshawaita mpaka tumechoka. Yawezekana inatupasa tuwe na subira
AminaNisiwe Leo ndugu yangu! Magufuli ataishi
Dude, people die!Magufuli nakuita kwa jina la Mungu aliye hai, uishi, utaishi na utasimama. Mungu baba sikia kuomba kwetu, tusikubali kupoteza uhai wa mtu
Hii inamaanisha niniPita kwa Chahali boss.
Haoo sawaNi kwa sababu aliyekufa Sio John P M bali ni Koku Magufuli
Uzi ni tetesi....Tetesi kwa habari nzito hivi
Hapana ndugu
Usiwe mwepesi wa kukanusha. Mda mwingine ni vizuri kukaa kimya na kuacha taarifa zijisahihishe zenyewe. Inaweza kua kweli au si kweli tutafute vyanzo.
Mkuu kwakweli huu upuuzi siyo wa kuvumilia kabisa, na Kama ndo mods wanashindwa kudeal na Mambo ya kizushi Kama haya Basi hii jamii forum haitakuwa na Maana Tena.
Mkuu embu tulia. Wengi hatutaki kusikia hizi habari lakini kama imetokea stand up and face it.Naumia sana, nateseka moyoni mwangu, Mungu tenda jambo juuvyake. Wewe ni mtakayifu, Mungu tunakusihi juu ya afyavyake. Mungu simama upade wetu