Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
Hii kiki ilitrend sana,kwamba haiwezekani mtu mmoja analipwa mil 30 huku mwingine analipwa 150,000!Akasemq atapunguza hiyo mil 30 na kuigawa ili kuwaongezea hawa wa chini!!Watu wakashangilia kama kawaida halafu baada ya muda wanasahau!
Vipi jamani, ni muda sasa umepita kimya! Hatusikii chochote juu ya hilo! Kuna mtu kapunguzwa mshahara? Kuna mtu kaongezwa mshahara? Annual increment yenyewe ni mgogoro, tokea jamaa ameingia hakuna mfanyakazi amepanda ngazi au kupata ongezeko la kila mwaka la mshahara ambali lipo kisheria!
Ngosha vipi?Wale washangiliaji mpo?
Vipi jamani, ni muda sasa umepita kimya! Hatusikii chochote juu ya hilo! Kuna mtu kapunguzwa mshahara? Kuna mtu kaongezwa mshahara? Annual increment yenyewe ni mgogoro, tokea jamaa ameingia hakuna mfanyakazi amepanda ngazi au kupata ongezeko la kila mwaka la mshahara ambali lipo kisheria!
Ngosha vipi?Wale washangiliaji mpo?