james katto
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 385
- 128
Nyie kule kwenu,mliposema kajinyea,nimgonjwa sio kuzomewa,mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora asiende tu.
Hali ilitisha sijui safari hii itakuwaje. Magu akafanye siasa za kiungwana na sio kufokea waheshimiwa wapiga kura
Magufuli ndio maana haipendi Mbeya na katika kipindi chake amekanyaga mara moja tu tena baada ya kuahirisha mara kibao wakiusoma upepo hadi walipomfunga Sugu ndio akaenda.
Hali ilitisha sijui safari hii itakuwaje. Magu akafanye siasa za kiungwana na sio kufokea waheshimiwa wapiga kura
Kweli picha ya kutisha.
Ila ingekuwa enzi hizi za propaganda za Polepole wangesema "Magufuli apokelewa kwa shangwe Mbeya"
Sio Wanambea. Ni Wanambeya.Wanambea huyu baba hakikisheni harudi Ikulu, akirudi hizi hasira zitaanzia kwa Sugu.
Mkuu asirudi kwa nguvu gani wapinzani walionayo?Wanambeya huyu baba hakikisheni harudi Ikulu, akirudi hizi hasira zitaanzia kwa Sugu.
Maliza kwa kusema CCM haiipendi Mbeya ila CCM inaipendWA na wana Mbeya.Magufuli ndio maana haipendi Mbeya na katika kipindi chake amekanyaga mara moja tu tena baada ya kuahirisha mara kibao wakiusoma upepo hadi walipomfunga Sugu ndio akaenda.
CCM inapendwa na wana Mbeya?Maliza kwa kusema CCM haiipendi Mbeya ila CCM inaipendWA na wana Mbeya.
Waweza nipa rekodi ya Raisi aliyewahi onesha mahaba kwa wana Mbeya?
Mbeya Leo asubuhi alipokuwa anaenda Mbarali Wananchi walizuia msafara wake na kumwambia wanataka mabadiliko na mtu wa kuyaleta mabadiliko ni Lowassa