DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Ccm ipo taabani
Lowassa anaitesa sana ccm
Lowassa anaitesa sana ccm
Huyu jamaa alivyo na visasi sipati picha kakasirika kiasi gani!
Hima jama tufanye mabadiliko,mzee wetu sweetheart Lowassa ndiye chaguo sahihi kwa Urais.
Hiyo siyo nguvu ya umma ila ni uhuni.
Uhuni mtu yeyote akiamua anaweza kuufaya, lakini matokeo yake ni kuvujika kwa amani.
Kama wao wameshaamua kuwa wanamtaka Lowassa nini kinawapeleka kwenye mkutano wa Magufuli?
Inaonekana kabisa kuwa kuna kundi lililojiandaa kufanya fujo na walishaandaa camera wapige hii picha ya video.
Ukawa badala ya kuchekelea vitu kama hivi inabidi mvikemee kwa sabau watanzania hawapendi vurugu, hawatamchagua mtu anayeandaa vikundi vya vurugu.
Bavicha bana sasa hapo nguvu ya ipo wapi hao wahuni wachache wanaopiga kelele?
Wapiga kura wametulia majumbani hawana fujo.
Endeleeni kujifariji mtakimbia humu baada ya uchaguzi.
Magufuli leo akiwa mbeya kuelekea mbarari amekutana na nguvu ya mabadiliko baada ya kusimamisha msafara wake aongee na wananchi ghafla akashuudia mikono inaviringishwa na vidole viwili juu vye alama ya V
Hali hiyo na kiu hiyo ilisababisha kabisa mgombea huyu wa urais kupitia Ccm ashindwe kutamka neno lolote na kuondoka eneo husika kuelekea mbarari.
UKAWA mjifunze siasa za kuvjmiliana. Kama tukiendekeza zomea zomea sijui kama tutafanikiwa kimaendeleo. Ndo maana wenye akili wanawakimbia. Wanabaki wajinga tu na malofa
Visasi ni vya Mungu, kwakweli nimeiona video kupitia wasapu ni sheeeeeeedah, kote wange kutana na mwamko dhidi yao kama huo wange acha kutudharau sisi wa chini.Huyu jamaa alivyo na visasi sipati picha kakasirika kiasi gani!
Hima jama tufanye mabadiliko,mzee wetu sweetheart Lowassa ndiye chaguo sahihi kwa Urais.
Mbeya Leo asubuhi alipokuwa anaenda Mbarali Wananchi walizuia msafara wake na kumwambia wanataka mabadiliko na mtu wa kuyaleta mabadiliko ni Lowassa
Magufuli leo akiwa mbeya kuelekea mbarari amekutana na nguvu ya mabadiliko baada ya kusimamisha msafara wake aongee na wananchi ghafla akashuudia mikono inaviringishwa na vidole viwili juu vye alama ya V
Hali hiyo na kiu hiyo ilisababisha kabisa mgombea huyu wa urais kupitia Ccm ashindwe kutamka neno lolote na kuondoka eneo husika kuelekea mbarari.
Tunaisambaza hii video tuone kama mamvi atafanya mikutano Kanda ya Ziwa!Ujinga na upumbavu mtupu?
Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.
Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.
Uwongo wenu mwisho October 25. Leo magufuli yupo Iringa wilaya ya Mufindi pole Sana kajipange upyaMagufuli leo akiwa mbeya kuelekea mbarari amekutana na nguvu ya mabadiliko baada ya kusimamisha msafara wake aongee na wananchi ghafla akashuudia mikono inaviringishwa na vidole viwili juu vye alama ya V
Hali hiyo na kiu hiyo ilisababisha kabisa mgombea huyu wa urais kupitia Ccm ashindwe kutamka neno lolote na kuondoka eneo husika kuelekea mbarari.
Ujinga na upumbavu mtupu?
Hivi unadhani na watu wa Magufuli wakianza kufanya hiki kinachofanywa na wajinfa wakisaidiana na wapumbavu kutakuwa na amani katika kampeni za uchaguzi.
Mshukuru watu wa upande wa Magufuli ni wastaarabu na wanafahamu dhana ya kukubali kutokubaliana katika msingi wa demokrasia.
CCM ndio hawana uvumilivu. Kweli wenye akili inayoishia kuvuta mpunga CCM wanajitoa hawawezi hili mabadiriko akili zao kama zako zimeishia LumumbaUKAWA mjifunze siasa za kuvjmiliana. Kama tukiendekeza zomea zomea sijui kama tutafanikiwa kimaendeleo. Ndo maana wenye akili wanawakimbia. Wanabaki wajinga tu na malofa
Sidhani kama upo sahihi kusema kuwa Magufuli ni mtu wa visasi
Bavicha bana sasa hapo nguvu ya ipo wapi hao wahuni wachache wanaopiga kelele?
Wapiga kura wametulia majumbani hawana fujo.
Endeleeni kujifariji mtakimbia humu baada ya uchaguzi.