Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Magufuli leo akiwa mbeya kuelekea mbarari amekutana na nguvu ya mabadiliko baada ya kusimamisha msafara wake aongee na wananchi ghafla akashuudia mikono inaviringishwa na vidole viwili juu vye alama ya V
Hali hiyo na kiu hiyo ilisababisha kabisa mgombea huyu wa urais kupitia Ccm ashindwe kutamka neno lolote na kuondoka eneo husika kuelekea mbarari.
Hali hiyo na kiu hiyo ilisababisha kabisa mgombea huyu wa urais kupitia Ccm ashindwe kutamka neno lolote na kuondoka eneo husika kuelekea mbarari.