S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,604
- 32,692
Huu ni wehu sasa!
Sasa basi!
Sasa basi!
Vitambulisho vya machinga ndio vilete maji? Hawachagui wdc wawaletee majiHata Tunduma mnalazimishwa kuuza haki zenu ili mpewe maji yenu ambayo yanatokana na kodi zenu, Rais wa nipe kitu kidogo nami nikupe maji!
Unakose kumbuka huu Ni uchaguzi hivyo inawezekana yeyote akishinda ila tatizo likaja kwa wabunge wa UpizaniSasa Chadema mna hofu ya Nini wakati Mhesh Tundu Lissu atakuwa Rais badala ya Magufuli?
Kauli ya JPM haina athari yeyotekwa Watanzania hivyy hakuna umuhimu wa kuijadili!
Spana za Lissu na matamko ya mabeberu kuwa wanafuatilia kwa makini uchaguzi wa TanzaniaNaona leo kaongea kwa hasira sana sijui wamemvuruga nini?