Fundi01 Jr
Member
- Apr 22, 2020
- 17
- 18
Hahahaha ivi ujahama bado? Fanya haraka sana ๐๐๐ ๐๐๐
Vipi mzee umeshaandika barua ya kuacha kazi๐คฃ๐คฃ au hata kazi yenyewe hunaa๐ ๐Mimi nitaacha kazi ya utumishi wa umma. Ahadi niliyoitoa miezi mingi iliyopita
Safari mmefika wapi now mkuu?Mkuu unipitie siku unahama nchi?
Umehama kwa kutumia VPN ๐๐คฃ๐คฃ๐คฃNipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais
Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.
Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.
Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.
Hali itakuwa tete sana!
kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.
Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
HeeeTechncaly wewe ni k*ma flani tu kwenda zako kalalwe
Unaendeleaje?mimi nitakuwa chizi huyu jamaa akipita!
Wangari Maathai tabia yako kunilamba "dislike" kila siku we haya tu!
Best nakusabahi...Nakereka nikiona kijana anaishabikia CCM..Tena Kama nnakumudu ndo kabisa! On a serious note unanikera balaa
kwani kashinda ama kajishindisha, nchi nzima hakuna anayesherehekea ushindi wake.Unaendeleaje?
HahahahaIla bavicha mna mikwara sana, vp umeshahama nchi? Mmiliki wa kitambulisho cha mjasiriamali nyuma ya keyboard na id fake anajikuta mfanya biashara wa kimataifa๐
Mimi nasherekea ushindi wa JPM ila kwenye ubunge nakubali mmeibiwa. Poleni sana..kwani kashinda ama kajishindisha, nchi nzima hakuna anayesherehekea ushindi wake.
Kwani miaka yote uchaguzi wetu si unajulikana kuwa sio wa huru na haki,sasa mtu unaanzaje kusema hivi mara vile wakati unajua kabisa hali halisi ilivyo? Hao walitoa hizo ahadi huko wakitegemea ccm haitoweza kushinda hata kwa wizi.Uchaguzi haukuwa wa Huru na Haki! Hivyo sioni sababu ya mtoa mada kuhama Nchi au yule jamaa mwingine kuacha kazi ya Utumishi wa Umma!
Yaani Chadema ni ya kupata kiti kimoja tu cha Ubunge Nchi nzima!! Huu ni zaidi ya UHUNi.
Kwani ameshinda?Haya achia wengine nafasi hio
Mshindi anatangazwa na NEC tu sio na mabeberu achia kazi ukapewe kibarua kwa beberuKwani ameshinda?
Acheni upuuzi. Hata mwanangu P wa chekechea anatambua wazi kuwa Magufuli hajashinda. Tutamtoa tu soon
Kwani kwa akili yako kabisa ulio zaliwa nayo una amini Magu kashinda bila wiziVipi mzee umeshaandika barua ya kuacha kazi๐คฃ๐คฃ au hata kazi yenyewe hunaa๐ ๐
Ulitabiri vema technically kesho yanaenda kutimia. Linaanzishwa tifu hakujawahi tokea. Umehamia nchi gani tukufuate??Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi