Magu kaomba vizuri, ila moyo.wake haumaanishiSikiliza Sala ya Magufuli vs Sala ya Tarimba hasa wanavyomaliza.
Ni kweli!Ana mabinti wazuri
nikajua nimeona peke anguAna mabinti wazuri
hahahahahahahaahahahaahhahahaahhivi Dengua kumbe inashika kasi?
Ni bule kupima Mkuu tayari serikali imetangaza,labda hiyo ya hospitali binafsi ndio ishughulikiwe.Halafu waziri anasema eti nchi nzima wamefariki watu 4 tuu kwa dengue.Sasa familia moja hiyo watoto 2 jee zingine?
HALAFU KWA NINI BIMA YA NHIF HAIKUBAL8 KUPIMA DENGUE KATIKA HOSPITAL ZA PRIVATE???
WAZIRI WA AFYA HILI NI JANGA VIPIMO HIVI VIWE KILA MAHALI TENA BURE KUPIMA
Ana mabinti wazuri
Ngoja nifanye mchakato!
Ndio zao wanachukuana na mabinamu zaoWanaoana wenyewe