Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,180
Wanabodi,
Yule Bingwa wa Kemia aliyeshutukia Fumigation haiwezi kuua virusi vya Corona na badala yake akashauri watu wajifukize, hali iliyopelekea vifo nchini Tanzania kuanzia Jumatano ya wiki iliyopita kubakia ni vifo 16 tuu.
Sasa Bingwa huyu wa Kemia Ameishangaza Dunia na kuwa talk of town kwa kuwa rais pekee duniani aliyetumia iteligensia kuchunguza usahihi wa vipimo vya Corona, baada ya kupima papai, mbuzi na kondoo, na papai kukutwa na Corona, hivyo kuthibitisha kuhusu vipimo fake vya Corona!.
Kufuatia utafiti huu wa Tanzania, sasa umeanza kuzisaidia nchini nyingine za Africa kuzishtukia mashine hizi.
Angalia hii
Jirani zetu Kenya katika County ya Mombasa, wakazi wa Mombasa leo wagomea kupima Corona na kuwatimua wapimaji huku wakimtaja Rais Magufuli ndiye amewasaidia kuzistukia mashine hizi, baada ya dereva mmoja wa Mombasa akiwa boda ya Uganda, amepimwa akakutwa na Corona na kugomewa kuvuka boda, akarudishwa under escorts hadi Mombasa, ili akafungiwe kwenye quarantine. Kufika kituo cha quarantine jamaa akagomea kufungiwa na kulazimisha apimwe tena, huku akimtaja Magufuli amegundua baadhi ya mashine zinatoa majibu fake.
Akakubaliwa kupimwa tena, jamaa wote walishangaa majibu ya vipimo vya huyo dereva yakaonyesha hana Corona!. Jamaa hawakuamini!, wakamchukua tena sample na kumpima kwenye mashine nyingine, majibu yakawa negative, hana Corona hivyo dereva huyo akarudi kitaa.
Kufika mtaa alishangiliwa sana na kumshukuru Magufuli amewasaidia Wakenya kuzishukia mashine hizo.
Kufuatia hali hiyo, serikali ya county ya Mombasa ilipoamua kuwapima bure wananchi wake, vijana wa mtaani wakawagomea wapimaji na kuwatoa baru kwa kuwafurusha.
Gavana wa Mombasa ambaye ni Baba mkwe wetu kwa Alikiba, aliwajimba mkwara mzito hao vijana walioleta fujo na kuzuia upimaji.
Hivyo Rais Magufuli anaendelea kuishangaza dunia kwa kuzifanyia inteligensia za vipimo vya Corona kwa kutumia sample za papai, fenesi hadi oil ya magari, na Tanzania kuwa nchi ya kwanza duniani kufanya integensia hii na kutangaza matokeo!.
Paskali
Yule Bingwa wa Kemia aliyeshutukia Fumigation haiwezi kuua virusi vya Corona na badala yake akashauri watu wajifukize, hali iliyopelekea vifo nchini Tanzania kuanzia Jumatano ya wiki iliyopita kubakia ni vifo 16 tuu.
Sasa Bingwa huyu wa Kemia Ameishangaza Dunia na kuwa talk of town kwa kuwa rais pekee duniani aliyetumia iteligensia kuchunguza usahihi wa vipimo vya Corona, baada ya kupima papai, mbuzi na kondoo, na papai kukutwa na Corona, hivyo kuthibitisha kuhusu vipimo fake vya Corona!.
Kufuatia utafiti huu wa Tanzania, sasa umeanza kuzisaidia nchini nyingine za Africa kuzishtukia mashine hizi.
Angalia hii
Jirani zetu Kenya katika County ya Mombasa, wakazi wa Mombasa leo wagomea kupima Corona na kuwatimua wapimaji huku wakimtaja Rais Magufuli ndiye amewasaidia kuzistukia mashine hizi, baada ya dereva mmoja wa Mombasa akiwa boda ya Uganda, amepimwa akakutwa na Corona na kugomewa kuvuka boda, akarudishwa under escorts hadi Mombasa, ili akafungiwe kwenye quarantine. Kufika kituo cha quarantine jamaa akagomea kufungiwa na kulazimisha apimwe tena, huku akimtaja Magufuli amegundua baadhi ya mashine zinatoa majibu fake.
Akakubaliwa kupimwa tena, jamaa wote walishangaa majibu ya vipimo vya huyo dereva yakaonyesha hana Corona!. Jamaa hawakuamini!, wakamchukua tena sample na kumpima kwenye mashine nyingine, majibu yakawa negative, hana Corona hivyo dereva huyo akarudi kitaa.
Kufika mtaa alishangiliwa sana na kumshukuru Magufuli amewasaidia Wakenya kuzishukia mashine hizo.
Kufuatia hali hiyo, serikali ya county ya Mombasa ilipoamua kuwapima bure wananchi wake, vijana wa mtaani wakawagomea wapimaji na kuwatoa baru kwa kuwafurusha.
Gavana wa Mombasa ambaye ni Baba mkwe wetu kwa Alikiba, aliwajimba mkwara mzito hao vijana walioleta fujo na kuzuia upimaji.
Hivyo Rais Magufuli anaendelea kuishangaza dunia kwa kuzifanyia inteligensia za vipimo vya Corona kwa kutumia sample za papai, fenesi hadi oil ya magari, na Tanzania kuwa nchi ya kwanza duniani kufanya integensia hii na kutangaza matokeo!.
Paskali