Polepole kamfundishe Kubenea jinsi yamkufanya kazi Ubungo
Hujapewa pamoja na kupiga tarumbeta hapa usiku kucha?Ukipata orodha yote tuwekee hapa. Hakika naoina Serikali mpya ya HapaKazi Tu. UKAWA lazima wakae
Mh Rais JPM kateuwa wakuu wapya wa mikoa 3 na wakuu wa wilaya wapya
Lazima,hii ni serikali ya kujuana.Full kujuana,mama bupilipili nae kawa Mkuu wa wilaya,hahahaahaha alikuwa warden wetu hall three msukuma mwenzangu,nakumbuka alifiwa na mwanae, Magufuli alikuwepo kwenye kuaga mara ya mwisho pale UDSM chapel
Andika kiswahili tuu jesikaaa wewe,MH POLE POLE KAWANYOOSHE UKIWA UBUNGO MPAKA WANYOOKE..... MWAKA HUU MAKENGEZA UTAISOMA NAMBA! HAPA KAAAZI TU CCM NOMBRE ONES
Huyo akalime huko kwao TarimeLeo ktk Gazeti la Mwananchi nimesoma habari ya Mulongo akihamasisha Kukusanya Madawati.... Alisema watakaoshindwa atalala nao mbele
Kumbe Raisi alishamtema.... Hongera JPM..