Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,422
- 911,172
taarifa ya habarii ya saa moja jioni ya leo ya TBC1, Waziri wa Miundo mbinu Dr. Magufuli amesambaza Ilani za uchaguzi za CCM katika hali inayonyesha anachapa siasa na kuwataka watendaji wote kwenye Wizara yake kuisoma, kuielewa na kuifuata..................au vinginevyo waache kazi au wataondolewa.....................
Vile vile amesimamisha zoezi la ajira mpya TANROADS katika hali inayonyesha mwingiliano kati ya Bodi ya Wakurugenzi na Wizara Mama.............Kiutaratibu Wizara mama haipaswi kujiingiza katika shughuli za kiutendaji za TANROADS.................
La kusikitisha zaidi ni sababu alizozitumia katika kuhalalisha Uongozi wa Wizara kuingilia zoezi la ajira mpya za Wahandisi wa Mikoa Wa TANROADS............alidai wao wanataka barabara zijengwe tu............................
Magufuli anashindwa kuelewa ya kuwa ni sera ya TANROADS ili kuimarisha ufanisi ajira ni za mikataba na kama watendaji wataelewa ajira ni za kudumu hawatakuwa na motisha wa kuongeza ufanisi...............................Pia TANROADS ina kashfa nyingi za matengenezo bomu ya baraba ikilinganishgwa na fedha ambazo serikali hutumiwa kwenye shughuli hizo zikiongeza umuhimu wa kuubadilisha uongozi mzima wa TANROADS....................
Mbaya zaidi, zoezi la mabadiliko ya uongozi ndani ya TANROADS yamekuwa yakipingwa na wabunge kwa sababu hizohizo za kujenga barabara wakati barabara nyingi ni bomu................hii yaashiria Regional Engineers na watendaji ndani ya TANROADS wana sauti kubwa kuliko hata Bodi yao ya wakurugenzi katika kuchalewesha mabadiliko ya uongozi ndani ya TANROADS kwa masilahi yao binafsi tu......
Vile vile amesimamisha zoezi la ajira mpya TANROADS katika hali inayonyesha mwingiliano kati ya Bodi ya Wakurugenzi na Wizara Mama.............Kiutaratibu Wizara mama haipaswi kujiingiza katika shughuli za kiutendaji za TANROADS.................
La kusikitisha zaidi ni sababu alizozitumia katika kuhalalisha Uongozi wa Wizara kuingilia zoezi la ajira mpya za Wahandisi wa Mikoa Wa TANROADS............alidai wao wanataka barabara zijengwe tu............................
Magufuli anashindwa kuelewa ya kuwa ni sera ya TANROADS ili kuimarisha ufanisi ajira ni za mikataba na kama watendaji wataelewa ajira ni za kudumu hawatakuwa na motisha wa kuongeza ufanisi...............................Pia TANROADS ina kashfa nyingi za matengenezo bomu ya baraba ikilinganishgwa na fedha ambazo serikali hutumiwa kwenye shughuli hizo zikiongeza umuhimu wa kuubadilisha uongozi mzima wa TANROADS....................
Mbaya zaidi, zoezi la mabadiliko ya uongozi ndani ya TANROADS yamekuwa yakipingwa na wabunge kwa sababu hizohizo za kujenga barabara wakati barabara nyingi ni bomu................hii yaashiria Regional Engineers na watendaji ndani ya TANROADS wana sauti kubwa kuliko hata Bodi yao ya wakurugenzi katika kuchalewesha mabadiliko ya uongozi ndani ya TANROADS kwa masilahi yao binafsi tu......