Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Ndio tatizo linapoanzia huko kwa wenzetu those departments works under the concept of inter-department teams and have ways of sharing information on tackling social issues together.Kilatha, Chige, Nyani Ngabu, Nguruvi3,
..Damn!!
..hivi huko Magu wamechagua mbunge wa upinzani nini?
..manaake tumezoea walipochagua upinzani ndipo huachwa bila msaada wa serikali.
..au hakuna serikali huko, kwa mfano district police officer, district security officer, district education officer, etc?
Policies zote za intervention ya maswala ya jamii WHO ndio wanatengeneza nchi zote ziliondelea wana copy ideas and implement them suitable to their existing systems.
Hao wizara ya afya ukiwauliza hata WHO wanasemaje kuhusu local joint strategic approach za kupambana na hayo mambo sidhani kama utapewa jibu. Let alone namna za kupambana na changamoto za inter-agency different working culture conflicts and how it affect the effectiveness of the system.
Watu tunaposema Ummy Mwalimu hii wizara sio size yake wanadhani majungu, she is well disciplined but management ya hiyo wizara is very technical and she doesn’t have what it takes.
Usiku mwema kiongozi....