Kayabwe
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 355
- 51
Akihitimisha ktkt uchangia wa kamati ya huduma za jamii ambapo yy nu m/kiti amesema bila kuwajali walimu kwa kuwalipa vizuri na kulipa madeni yao hakuna big result now.Amekiri serikali hamthamini mwalimu na akasema walimu wanajitahidi kufanya kazi ingawa wanafanyia kazi kwenye mazingira magumu.Je serikali itamuangalia mwalimu na kumthamini na kumlipa vizuri?Walimu msikubali kujitoa bila walimu kuwalipa vizuri!!!!