Bandabichi
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 230
- 42
Heshima mbele wakuu.
Ninafanya mazoezin kila sikun asubuhi si unajua afya na pumzi kwa ajili ya mambo yetu yale, Unaweza ukaishia Chalize maake hiyo spidii yake usipime.
Sasa basi magoti yanakuwa yanaisha ile fluid na yanakuwa yanakwangua sana mpaka nashindwa kuinuka Je tatizo ni nini? na suluhisho lake ni kitu gani.
Ninafanya mazoezin kila sikun asubuhi si unajua afya na pumzi kwa ajili ya mambo yetu yale, Unaweza ukaishia Chalize maake hiyo spidii yake usipime.
Sasa basi magoti yanakuwa yanaisha ile fluid na yanakuwa yanakwangua sana mpaka nashindwa kuinuka Je tatizo ni nini? na suluhisho lake ni kitu gani.