Magonjwa ya kuku

Nimenunua vifaranga mia baada ya wiki mbili vimebaki ishirini na vinaendelea kupukutika ni aina ya kroila
 
pole ndugu hatujaachana sana sababu mimi nilinunua 42 sasa hivi wamebakia 17 ila sasa hivi wanaendelea vizuri
 
Back
Top Bottom