uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,406
- 3,594
safi sana.kunywa serengeti mbili apo kwa mangi ,nakuja kulipa hahaYangeandikwa na mababu zangu ningeyaamini. Haya ya kuja kwenye boti na merikebu? Nani aliandika na nani shuhuda wa maandiko hayo. je Yesu alikuwa mjinga kutengeneza muujiza wake wa kwanza kule kanaani yaani wa mvinyo? Uyahudi ndo kunalimwa zabibu nzuri tu na mvinyo ni kinywaji bora kwa Mediterranean countries zote. Watu tunapata communio kwa mvinyo halafu unasema hayo. Sema ulevi ndo mbaya ila kunywa tutakunywa tu.
cc: Mrangi, mshana jr.