Magic FM: Rais asifikirie Wananchi watafuata sheria wakati yeye mwenyewe anazivunja sheria

domokaya

JF-Expert Member
Apr 22, 2010
3,545
1,719
Katika segment yao ya kupaka rangi katika Morning Magic watangazaji Horace Kawawu, Mkambala na Maria wa MAGIC FM wamemtolea uvivu Rais Magufuli kwa kumwambia asifikirie kama wananchi watafuata sharia wakati yeye mwenyewe amekuwa mstari wa mbele wa kuvunja sheria. Wakatoa mfano wa Rais Magufuli kutoheshimu katiba kwa kuzuia mikutano na shughuli za siasa lakini hawakusema Rais Magufuli kavunja kifungu gani cha katiba.

Wakaendelea kusema kuwa watu wamesomea siasa, wakatoa mfano wa Mrema na Mnyika wa CHADEMA, wakasema wao waliosomea siasa kazi yao ni siasa sasa iweje rais awazuie watu waliosomea fani yao kuitumikia?

Wakazidi kusema kuwa si jambo la ajabu kwa binadamu kukosea, kwani ubinadamu haukamiliki mpaka binadamu awe na mapungufu, inawezekana kabisa rais ana mapungufu, basi hana budi kulifahamu tatizo hilo na ikiwezekana akae chini na wenzake kujadiliana nao au atolee ufafanuzi kauli yake kwani ni wazi kuwa amekosea.

Kuhusu udikteta, wamesema rais Magufuli hajafikia kiwango kikubwa cha udikteta, ni kama vile ndio umeanza anza haupo katika hatua za chini kiasi kwamba kuna hata nafasi ya yeye kukosolewa.

Inawezekana kabisa Magic FM wanasema kweli lakini swali linakuja je wana mamlaka ya kuyazungumza hayo wanayoyazungumza? Wana haki ya kukosoa na kuhukumu pasipo kusema ni kifungukipi cha katiba au kifungu kipi cha sharia kilichovunjwa? Nani amewapa Magic FM wajibu wa kutafsiri sharia na kusema nani kapatia na nani kakosea?

Hata kama ni ukweli lakini huu ndio utaratibu unaovitaka vyombo vya habari kuuwakilisha namna hii tena kuruhusu watu watume ujumbe wao na kuchangia hayo waliyoyaongea? Wachangiaji wengine wametumia lugha kali na mbaya na bado sms zao zikasomwa hewani.

Weledi uko wapi?

Jamani angalau weledi wa fani mlizosomea!
 
Kuna tatizo gani wanahabari kuchambua kile ambacho kina trend?Au kosa lao ni kutokutaja kifungu cha sheria/katiba kilichovunjwa?Huwezi kukataza siasa wakati siasa ni maisha na watu wanatumia muda mwingi vyuoni kusoma.
 
Nahisi muda huu ninaandika hii tyr watakuwa wameshahojiwa kwa 'kina' kuhusu hilo naona dalili pia kuhusishwa na neon lenye mashiko makubwa la 'UCHOCHEZI' Mungu ibariki Tz.
 
Katika segment yao ya kupaka rangi katika Morning Magic watangazaji Horace Kawawu, Mkambala na Maria wa MAGIC FM wamemtolea uvivu rais Magufuli kwa kumwambia asifikirie kama wananchi watafuata sharia wakati yeye mwenyewe amekuwa msitari wa mbele wa kuvunja sheria. Wakatoa mfano wa Rais Magufuli kutoheshimu katiba kwa kuzuia mikutano na shughuli za siasa lakini hawakusema rais Magufuli kavunja kifungu gani cha katiba.

Wakaendelea kusema kuwa watu wamesomea siasa, wakatoa mfano wa Mrema na Mnyika wa CHADEMA, wakasema wao waliosomea siasa kazi yao ni siasa sasa iweje rais awazuie watu waliosomea fani yao kuitumikia?

Wakazidi kusema kuwa si jambo la ajabu kwa binadamu kukosea, kwani ubinadamu haukamiliki mpaka binadamu awe na mapungufu, inawezekana kabisa rais ana mapungufu, basi hana budi kulifahamu tatizo hilo na ikiwezekana akae chini na wenzake kujadiliana nao au atolee ufafanuzi kauli yake kwani ni wazi kuwa amekosea.

Kuhusu udikteta, wamesema rais Magufuli hajafikia kiwango kikubwa cha udikteta, ni kama vile ndio umeanza anza haupo katika hatua za chini kiasi kwamba kuna hata nafasi ya yeye kukosolewa.

Inawezekana kabisa Magic FM wanasema kweli lakini swali linakuja je wana mamlaka ya kuyazungumza hayo wanayoyazungumza? Wana haki ya kukosoa na kuhukumu pasipo kusema ni kifungukipi cha katiba au kifungu kipi cha sharia kilichovunjwa? Nani amewapa Magic FM wajibu wa kutafsiri sharia na kusema nani kapatia na nani kakosea?

Hata kama ni ukweli lakini huu ndio utaratibu unaovitaka vyombo vya habari kuuwakilisha namna hii tena kuruhusu watu watume ujumbe wao na kuchangia hayo waliyoyaongea? Wachangiaji wengine wametumia lugha kali na mbaya na bado sms zao zikasomwa hewani.

Weledi uko wapi?

Jamani angalau weledi wa fani mlizosomea!
Sio sharia, ni sheria
 
Katika segment yao ya kupaka rangi katika Morning Magic watangazaji Horace Kawawu, Mkambala na Maria wa MAGIC FM wamemtolea uvivu rais Magufuli kwa kumwambia asifikirie kama wananchi watafuata sharia wakati yeye mwenyewe amekuwa msitari wa mbele wa kuvunja sheria. Wakatoa mfano wa Rais Magufuli kutoheshimu katiba kwa kuzuia mikutano na shughuli za siasa lakini hawakusema rais Magufuli kavunja kifungu gani cha katiba.

Wakaendelea kusema kuwa watu wamesomea siasa, wakatoa mfano wa Mrema na Mnyika wa CHADEMA, wakasema wao waliosomea siasa kazi yao ni siasa sasa iweje rais awazuie watu waliosomea fani yao kuitumikia?

Wakazidi kusema kuwa si jambo la ajabu kwa binadamu kukosea, kwani ubinadamu haukamiliki mpaka binadamu awe na mapungufu, inawezekana kabisa rais ana mapungufu, basi hana budi kulifahamu tatizo hilo na ikiwezekana akae chini na wenzake kujadiliana nao au atolee ufafanuzi kauli yake kwani ni wazi kuwa amekosea.

Kuhusu udikteta, wamesema rais Magufuli hajafikia kiwango kikubwa cha udikteta, ni kama vile ndio umeanza anza haupo katika hatua za chini kiasi kwamba kuna hata nafasi ya yeye kukosolewa.

Inawezekana kabisa Magic FM wanasema kweli lakini swali linakuja je wana mamlaka ya kuyazungumza hayo wanayoyazungumza? Wana haki ya kukosoa na kuhukumu pasipo kusema ni kifungukipi cha katiba au kifungu kipi cha sharia kilichovunjwa? Nani amewapa Magic FM wajibu wa kutafsiri sharia na kusema nani kapatia na nani kakosea?

Hata kama ni ukweli lakini huu ndio utaratibu unaovitaka vyombo vya habari kuuwakilisha namna hii tena kuruhusu watu watume ujumbe wao na kuchangia hayo waliyoyaongea? Wachangiaji wengine wametumia lugha kali na mbaya na bado sms zao zikasomwa hewani. Weledi uko wapi? Jamani angalau weledi wa fani mlizosomea!

Labda nikusaidie tu na kwa faida yako na kwa wengine ni kwamba Mtangazaji Horace Kawau ni Kada mkubwa wa CHADEMA na jaribu kumfuatilia utangazaji wake tokea mwaka jana " Mvi " alipohamia CHADEMA na wakati wa Kampeni, utangazaji wa matokeo na hadi utangazaji wa mshindi.

Horace Kawau ametumika sana kuendeleza itikadi na propaganda za CHADEMA katika kituo hicho cha Utangazaji cha Magic fm. Na ukitaka tu kujua au kuyaamini haya nakupa assignment ndogo sana jaribu kufuatilia analysis zake hasa jambo linapokuwa linaihusu CCM na CHADEMA utayaamini haya niliyokuambia.

Horace Kawau ni mtangazaji mwenye hasira, chuki na uchungu dhidi ya Serikali hii ya CCM na pia hushirikiana kwa karibu mno na Makada maarufu wa CHADEMA. Na anatumia nafasi ya kuwa Muongoza Kipindi Mkuu wa hicho Kipindi kuwashawishi wenzake kiitikadi na kueneza chuki zake dhidi ya Serikali ya CCM iliyo chini ya JEMEDARI Mkuu Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Boss Madam Dinah Chahali unatuangusha sana sisi wana CCM wenzio kwa kumuacha huyo Mfanyakazi wako Horace Kawau akiendeleza Utangazaji wa chuki dhidi ya CCM na Serikali yake. au na Wewe umeamua kuacha na kususa kwakuwa Mtu wako ambaye ulikuwa unategemea atakuwa Rais Bernard Membe ameukosa hivyo kupeperusha ndoto zako za kuwa pale IKULU katika nafasi aliyonayo sasa Msigwa kama ambavyo mlikuwa mmejipanga?

Naomba niishie hapa tafadhali. Mnasalimiwa mno na Watu wa huku Puerto Rico nilipo sasa Kikazi.
 
Back
Top Bottom