Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
- Thread starter
- #21
Elimu unayo wewe unayedakia comment moja bila kusoma zilizopita, jiulize kwanza kwa nini nilimjibu hivyo huyo mtu,Unajua unamwaga pumba saana mkuu!!!!... sehemu nyingi ninaposoma uchangiaji wako nashindwa kuelewa kuwa ni kweli unaelimu angalau ya darasa la SABA!!!!!...
Tatizo lenu nyie makamanda viroba mnataka muone thread zinazowapamba mabosi wenu tu basi.