Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
Yale maghorofa ya masaki yaliyo jirani na Lowasa yalioamriwa kuvunjwa na awamu ya nne, chini ya Waziri Mkuu mwenye uthubutu, yako hatua za mwisho za ukarabati. Wenye kupenda kupanga maeneo hayo wajitayarishe ! Sina uhakika kama ile kasi ya rushwa ya watendaji wa kinondoni kama imefutwa !