kyanaKyoMuhaya
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,952
- 937
Ma ghorofa ya zamani Yakiwa na ujenzi wa nyumba mpya juu.
Tusubiri. Vifusi vingine zaidi ...................!
Picha ndogo sana siioni vizuri .........!Tafakari.....View attachment 89362
Na Kikwete kuwahi kufika eneo la tukio
Picha ndogo sana siioni vizuri .........!
Duh! Hakika Tza kuna maajabu yaliyozidi ya Musa, kila kitu bora liende, kukiwa na tukio tume zinaaundwa kupewa wale wale wanaojua kuzitafuna pesa za walipa kodi!
huku akitabasamu bila kujali km watu wapo katika machungu na majonzi.