Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,230
- 32,630
Watafiti Wanasema Upo Uwezekano wa Chai ya Moto Kusababisha Kansa ya Koo.
Katika utafiti uliochapishwa katika jarida la Cancer Epidemiology watafiti wamegundua kuwa wenyeji huko Magharibi ya Kenya wanaongoza kwa kunywa chai ya moto zaidi Duniani. Kwa wastani wenyeji hao hunywa chai yenye nyuzi joto 72.1. Upande huo wa Magharibi ya Kenya wenyeji pia wanaongoza kwa kupata kansa ya koo (oesophagus) nchini Kenya.
Tanzania inafuatia kwa kuwa ya pili kwa unywaji wa chai ya moto duniani. Japo kuwa utafiti huu haujahitimisha bado kwa ukamilifu juu ya suala hili lakini watafiti hao wanaoanisha juu ya unywaji wa chai ya moto na kupata kansa ya koo.
=================================
Western Kenyans 'drink hottest tea'
Scientists research possible cancer link
Scientists investigating a possible connection between the average temperature that people have tea and cancer of the oesophagus have suggested that people in Kenya, particularly in the west, drink the hottest tea in the world.
The study, published in the journal Cancer Epidemiology, looks into trying to explain why there are many cases of the cancer in western Kenya. "Thermal injury from hot food and beverages" has been mooted as a possible cause, it says.
According to a summary, the researchers have not drawn any definitive conclusions but suggest that the evidence should be evaluated further.
But Cancer Epidemiology has published a tea temperature chart indicating that, among the countries surveyed, Kenyans like it the hottest - at 72.1C.
Katika utafiti uliochapishwa katika jarida la Cancer Epidemiology watafiti wamegundua kuwa wenyeji huko Magharibi ya Kenya wanaongoza kwa kunywa chai ya moto zaidi Duniani. Kwa wastani wenyeji hao hunywa chai yenye nyuzi joto 72.1. Upande huo wa Magharibi ya Kenya wenyeji pia wanaongoza kwa kupata kansa ya koo (oesophagus) nchini Kenya.
Tanzania inafuatia kwa kuwa ya pili kwa unywaji wa chai ya moto duniani. Japo kuwa utafiti huu haujahitimisha bado kwa ukamilifu juu ya suala hili lakini watafiti hao wanaoanisha juu ya unywaji wa chai ya moto na kupata kansa ya koo.
=================================
Western Kenyans 'drink hottest tea'
Scientists research possible cancer link
Scientists investigating a possible connection between the average temperature that people have tea and cancer of the oesophagus have suggested that people in Kenya, particularly in the west, drink the hottest tea in the world.
The study, published in the journal Cancer Epidemiology, looks into trying to explain why there are many cases of the cancer in western Kenya. "Thermal injury from hot food and beverages" has been mooted as a possible cause, it says.
According to a summary, the researchers have not drawn any definitive conclusions but suggest that the evidence should be evaluated further.
But Cancer Epidemiology has published a tea temperature chart indicating that, among the countries surveyed, Kenyans like it the hottest - at 72.1C.
Investigating tea temperature and content as risk factors for esophageal cancer in an endemic region of Western Kenya: Validation of a questionnaire and analysis of polycyclic aromatic hydrocarbon content
Esophageal squamous cell carcinoma (ESCC) is common in certain areas worldwide. One area, western Kenya, has a high risk of ESCC, including many young…
www.sciencedirect.com