chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,975
- 20,613
Kwa ujumla,nchi inakula hasara kuhifadhi korosho za wakulima kwa muda mrefu wakati inafahamika wazi kwamba soko limekosekana,ni vyema wakulima warudishiwe korosho zao,na serikali iyatumie maghala kwa shughuli nyingine za kujenga uchumi na zenye faida kwa Taifa.
Kuwarudishia wakulima korosho zao itasaidia kuwapa muda watafute wateja wao wenyewe ndani au nje ya nchi
Kuwarudishia wakulima korosho zao itasaidia kuwapa muda watafute wateja wao wenyewe ndani au nje ya nchi