Maggid Mjengwa achambua hoja za Jaji Sinde Warioba

JOHNGERVAS

JF-Expert Member
Mar 22, 2016
1,011
1,681
Tafakuri Jadidi:

Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba?

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema. Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.

Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.

Pia soma
 
Tafakuri Jadidi:
Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba…?
Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema.
Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.
Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.
Swali fikirishi je ni kweli jeshi la polisi linahitaji kujengewa uwezo?

Labda kuhusu uzalendo
 
Huyu Mjengwa ni chawa kama chawa wengine tu,eti ooh kwanini asingetumia njia nyingine ameamua kutumia njia hii kufikisha ujumbe wake! Mzee Warioba katumia njia muafaka kufikisha ujumbe kwa watawala kwa kuwachana waziwazi juu ya vitendo na chokochoko zao za kuchezea amani ya nchi lakini Mjengwa anataka Mzee Warioba afanye hivyo kwa siri,siri ya nini?
 
Naona ameandika kwa tahadhari kubwa sana kiasi cha kujiuliza sijui waandishi wetu wa habari, wamerogwa na nani!! Maana wengi siku hizi wanaandika makala yao kwa kuongozwa na matumbo, badala ya ubongo.
Huyo ni mwanahabari wa ccm. Amemuelewa vema kabisa jaji Warioba ila ameamua kuandika kama wanavyotakiwa kuandika huko ccm.
 

Attachments

  • 2576007-d05126d2cf760a954dec3168c92d63a7.mp4
    8 MB
Swali fikirishi je ni kweli jeshi la polisi linahitaji kujengewa uwezo?

Labda kuhusu uzalendo

..jeshi la polisi kuhusishwa na siasa ni tatizo la kimaadili miongoni mwa viongozi wakuu serikalini, na makamanda mbalimbali wa Polisi.

..sielewi hoja ya Mjengwa kuhusu " kuliongezea jeshi uwezo " wakati tatizo ni ukengeufu wa maadili miongoni mwa wale waliopewa dhamana ya kuliongoza.
 
Tafakuri Jadidi:
Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba…?

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema. Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.
Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.

Pia soma
Huenda mwandishi maggid amezeeka vibaya au haafikiani na mawazo ya aliyejlmtuma, ila tu sababu mwenye njaa hanaga mwiko
 
Tafakuri Jadidi:
Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba…?

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema. Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.
Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.

Pia soma
Hakuna pointii katika hoja za Mjengws.

Amekereheka Warioba kuyatataja. mapungufu hadharani alitaka yawe siri kwa manufaa ya nani?

Kusema hadharani inasaidia zaidi na pia mambo yakiendelea kuharibika yeye Warioba ametimiza wajibu wake kuonya.
 
Tafakuri Jadidi:
Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba…?

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema. Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.
Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.

Pia soma
Ntarudi kutoa nondo za uhakika stay tuned
 
Tafakuri Jadidi:
Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba…?

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema. Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.
Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.

Pia soma
Tatizo la jeshi la polisi sio uwezo, bali na ukosefu wa maadili kwa kutumika kisiasa.
 
..jeshi la polisi kuhusishwa na siasa ni tatizo la kimaadili miongoni mwa viongozi wakuu serikalini, na makamanda mbalimbali wa Polisi.

..sielewi hoja ya Mjengwa kuhusu " kuliongezea jeshi uwezo " wakati tatizo ni ukengeufu wa maadili miongoni mwa wale waliopewa dhamana ya kuliongoza.
Wanaahirisha kufikiri kizalendo a.k.a kujizima data, (unyumbu wa kisiasa)
 
Back
Top Bottom